Kwa Usajili Huu, Ubingwa Lazima - Eng Hersi

Mjumbe wa Kamati ya Usajili ya Yanga na Mkurugenzi Uwekezaji wa Kampuni ya GSM, Injinia Hersi Said, ametamba kuwa kwa usajili mpya na wa kisasa wanaoendelea kuufanya unampa matumaini makubwa ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara na Kombe la FA msimu wa 2020/21.

Kauli ya bosi huyo wa GSM imekuja baada ya kukamilisha usajili wa wachezaji wawili wa kimataifa wanaokipiga AS Vita ya DR Congo, winga Tuisila Kisinda na kiungo mkabaji, Mukoko Tonombe.

Wachezaji wengine wapya waliosajiliwa na Yanga ni Yacoub Sogne, Yassin Mustapha, Farid Mussa, Zawadi Mauya, Kibwana Shomari, Bakari Mwamnyeto, Waziri Junior na Abdallah Shaibu ‘Ninja’.


Drops and Wins!

Umeijua hii? Ni promosheni kabambe ya ushindi kwenye Casino ya mtandaoni ya Meridianbet! Unaweza kushinda hadi Euro 2,000,000 leo.

Soma Zaidi

34 Komentara

    Hamna Kitu HapaTusubili Tarehe 18tu#Meridianbettz

    Jibu

    Asante kwataharifa

    Jibu

    yanga kujifariji tu nawapongeza ila kamati ya ufundi kazi ya ziada wanayo vinginevyo watasikia ushindi katika vyombo vya habari

    Jibu

    Subiri tuone wanaume kazni

    Jibu

    Hahahah Mimi nasubilia patapo chimbika uwanjani Kama wapo sawa hauraha kwasababu usikisifie kitu atujakiona ubola wake ndio Apo tutapo ana uwanjani

    Jibu

    yanga mbele daima

    Jibu

    Ngoja tuone wataisaidia vipi yanga kuwatoa katika janga lao lakutokuchua ubingwa

    Jibu

    Usajiri umekuwa na mbwembwe nyingi sana,tusubiri matunda uwanjani#meridianbettz

    Jibu

    Shuhul hamna apo

    Jibu

    Kwa maoni yangu kusajili wachezaji maarufu sio ushindi kutokana na kule tulipo toka tunataka vitendo mashabiki na sio kujigamba bila faida .

    Jibu

    Kwa usajili huu tunasubilia maajabu uwanja wa mkapa tarehe 18

    Jibu

    Tusubili tuone tu iyo tarehe 18 wanaume kazin#Meridianbettz

    Jibu

    Tusubir matokeo

    Jibu

    Kweli yajao yanafurahisha ndani ya ligi ya VPL

    Jibu

    Yanga tumejipangaaaaa

    Jibu

    Tunasubili tuone maajabu hiyo siku ikifika#meridianbettz

    Jibu

    Mashabiki tupo tunasubiri matokeo
    @meridianbettz

    Jibu

    Yanga buana

    Jibu

    Kwa usajili huu wapinzani wasubiri waone

    Jibu

    Mmmh tusubili matokeo

    Jibu

    Hongereni yanga.

    Jibu

    Usajili ni mzuri tumasubiri matokeo ligi itakapoanza

    Jibu

    Yanga imepania kuonyesha uwezo msimu ujao ni vyema kujipanga

    Jibu

    Yanga usajil wao uko vizur sio wa kukurupuka mukoko bonge la mchezaji yuko vizur sana 👍

    Jibu

    Hatutaki masihara msimu ujao.

    Jibu

    Big up yanga

    Jibu

    Big up Dar young Africa na kazi itakuwepo msimu ujao

    Jibu

    Safi sana Yanga

    Jibu

    Acha tusubili tuone

    Jibu

    League ikianza tutajua uwez jua wao

    Jibu

    Kila la kheri kwa wana yanga!

    Jibu

    Kila la kheri Timu ya wananch i

    Jibu

    Kwa maoni yangu kusajili wachezaji maarufu sio ushindi kutokana na kule tulipo toka tunataka vitendo mashabiki na sio kujigamba bila faida .

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.