Lookman Aanza Kwa Kasi Atletico Madrid

Staa mpya wa Atletico Madrid, Ademola Lookman, ameanza kwa moto maisha yake mapya ndani ya kikosi hicho mara baada ya kujiunga akitokea Atalanta.

Lookman Aanza Kwa Kasi Atletico Madrid

Nyota huyo wa kimataifa wa Nigeria alipewa nafasi ya kuanza katika mchezo wa robo fainali ya Copa del Rey dhidi ya Real Betis, ambapo Atletico iliibuka na ushindi mnono wa mabao 5-0.

Bila kusahau meridianbet ndio wakali wa ODDS KUBWA, Machaguo zaidi ya 1000 na kila kitu ukitakacho. Bashiri kijanja hapa

Lookman alidumu uwanjani kwa takribani dakika 80 na kuonesha kiwango cha hali ya juu, akihusika moja kwa moja katika mabao mawili. Alifunga bao moja na kutoa pasi ya bao jingine, akithibitisha thamani yake mapema kabisa ndani ya kikosi hicho.

Lookman Aanza Kwa Kasi Atletico Madrid

Mwanzo huo mzuri unaashiria kuwa Lookman anaweza kuwa silaha muhimu kwa Atletico katika harakati zao za kutwaa mataji msimu huu.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.