Barcelona sio klabu pekee inayotamani kuinasa saini ya mshambuliaji wa Inter Lautaro Martinez, kwani inaripotiwa Manchester City wanamuona kama anafaa kuwa mrithi wa Sergio Aguero.
Barcelona hawakuficha kabisa mazungumzo yao kwa mchezaji huyo wa kimataifa wa Argentina kwa mwaka jana, lakini Inter walikomaa kuwa wasingemuachia kwa chini ya dau la kumuachia la thamani ya Euro milioni 111.
Kwa mujibu wa Eurosport, Marca Claro na TyC Sports huko Argentina, Manchester City pia wanaandaa zabuni inayowezekana kumnasa mshambuliaji huyo wa miaka 23.

Lautaro anaweza kuwa mrithi bora wa Sergio ‘Kun’ Aguero, na mwisho wa siku anaweza hata kuishia kuwa mwanatimu mwenza na Lionel Messi.
Mkataba wa Messi na Barcelona unamalizika mwishoni mwa msimu huu na bado kuna sintofahamu juu ya mustakabali wake Camp Nou, akitajwa kuwa tayari kuungana tena na Pep Guardiola huko England.
Lautaro Martinez ana rekodi nzuri ya mabao 10 katika mechi 19 za timu ya taifa ya Argentina, wakati ana mabao 35 na asisti 10 katika michezo 94 ya mashindano ya Inter.
Hauhitaji kuwaza linapokuja suala la ubashiri na odds kubwa. Bashiri na Meridianbet ukiwa popote ufurahie ushindi mkubwa katika michezo mbalimbali na hadi milioni 16 kwenye michezo ya kasino.



Adelta
Martinez ni kiungo makini sana
magdalena
martinez anatamaniwa na vilabu vingi sana kwa sababu ya juhudi zake apo kikubwa mwenye dau kubwa ndo anaweza nyakua saini yake
Mwajumah
Namkubali sana Martinez anajua sana uyu jamaa
Fatina mfigi
Martinez Ni mchezaji mzuri sanaa
zeiyana
Sizani kama intel watafanikiwa kumuuza martinez kwa dau ilo ukiangalia vilabu vingi vimeshuka viwango toka mripuko wa gonjwa wa korona ulivyo hingia
Shakila mrope
Ni mchezaji mzuri mno
Ester jackson
Kwa kujumba kwa inter wanaweza wasimuuze mchezaji huyo ilikuweza kuisaidia timu isishuke labda wawauze wengine
Rahma
Martinez mchezaji mzuli
Amiri Kayera
Anajua San kufunga
Khadija
Mchezaji mahiri sana
Elika
Martinez Yuko makini sana
Angelina
Ni mchezaji makini sana kama wakifanikiwa kupata sain yake
Lydia Emmanuel Magoti
Martinez nikungo makini Sana kila krabu wanataka wapitishe saini yake mchezaji huyo kwaio apo tunaangalia mkwanja tuu Ndio Martinez atapo salia sehemu yenye mkwanja mdogo watasubili
Carolyn
Saini ya Martinez inagombaniwa.kila mtu anataka kumchukua
Hopemwaikuka
Always yuko gud
Povel
Transfer window mambo ni moto
aisha
Ni mchezaji mahili sana
Sabrina
Hawajakosea Martinez fundi
Sauda
Martinez ni kiungo bora kabisa
Saupha mohamed
Martinez tupo vizuri sana
Janeflora malisa
Safi
Tatu
Barcelona wanapenda kujambisha awana uwezo wa kumchukua martinez labda man city
Issa
City na wajiandae kuchuana na barca