Manchester City Yapata Mkurugenzi Mpya wa Michezo
Makala iliyopita
Manchester United Kumuongezea Mkataba Mainoo
Makala ijayo
Gavi Mbioni Kurejea
Hugo Viana raia wa kimataifa wa Ureno ambaye anaitumikia klabu ya Sporting Lisbon ya nchini Ureno atafanikiwa kujiunga na klabu hiyo ya nchini Uingereza kuanzia mwezi Juni mwakani, Huku makubaliano ya pande zote mbili yakifikiwa ya yeye kua mkurugenzi mpya wa michezo wa klabu ya Man City.