Manchester United Bado inawapigia Hesabu De Ligt na Mazraoui
Makala iliyopita
Solanke Huyoo Spurs
Vyanzo kutoka ndani ya Man United vinaeleza kua klabu hiyo itahakikisha ndani ya mwezi huu wanakamilisha dili la wachezaji hao kwakua kwasasa wanatafuta njia ya kuweza kumalizana na Bayern Munich, Uzuri ni kua Mashetani wekundu wanajua kua Bavarians hawana mpango na wachezaji hao hivo mwisho watawauza tu.