Manchester United Kuhamia kwa Kiungo wa Burnley
Makala iliyopita
TANZANITE DAY YA FOUNTAIN GATE YAPAMBA MOTO
Makala ijayo
Bruno Guimaraes Bado Nipo Newcastle
Kiungo Sander Berge amekua na msimu mzuri sana ndani ya klabu ya Burnley chini ya kocha Vicent Kompany licha ya ksuhuka daraja kwa timu hiyo, Lakini kiungo huyo wa kimataifa wa Norway alikua mchezaji mzuri na ndio klabu ya Man United wamemuona kama kiungo ambaye atawafaa kwasasa sokoni.