Mshambuliaji huyo wa kimataifa wa Uingereza amekua na msimu bora sana uliomalizika baada ya kufanikiwa kufunga mabao 19, Huku ukiwa ni msimu bora sana kwa mshmbuliaji huyo na kua moja ya wachezaji muhimu sana ndani ya kikosi cha Bournamouth chini ya kocha Andoni Iraola.