Manchester United Wana imani na Ten Hag
Makala iliyopita
TAIFA STARS IPO TAYARI KUWAVAA ETHIOPIA KESHO
Makala ijayo
Laporta Afurahishwa na Flick
Wakati akiongea na waandishi wa habari mkurugenzi wa klabu ya Manchester United Omar Berrada na kuulizwa kama wana imani na kocha huyo raia wa kimataifa wa Uholanzi kama uongozi na mkurugenzi huyo kujibu kwa kusema Tunadhani Erik ndiye kocha sahihi kwetu na tunamuunga mkono kikamilifu.