Manchester United Wana imani na Ten Hag

Makala iliyopita
TAIFA STARS IPO TAYARI KUWAVAA ETHIOPIA KESHOMakala ijayo
Laporta Afurahishwa na Flick
Wakati akiongea na waandishi wa habari mkurugenzi wa klabu ya ManchesterΒ United Omar Berrada na kuulizwa kama wana imani na kocha huyo raia wa kimataifa wa Uholanzi kama uongozi na mkurugenzi huyo kujibu kwa kusema Tunadhani Erik ndiye kocha sahihi kwetu na tunamuunga mkono kikamilifu.