Manchester United Dhidi ya Fulham Kuifungua EPL Leo
Makala iliyopita
Je Wajua Kwanini Wachezaji Huingia Uwanjani na Watoto?
Makala ijayo
Greenwood Aanza kwa Kishindo Marseille
Man United wana maingizo kadhaa mapya kwenye kikosi chao ambayo kwa asilimia kadhaa yanaweza kuanza katika mchezo wa leo wa ufunguzi, Wachezaji hao ni De Ligt pamoja na Mazraoui ambao wamefanya mazoezi na kikosi hicho kwa siku mbili lakini wanaweza kuanza katika mchezo wa leo kutokana na majeraha yanayokiandama kikosi hicho.
Kikosi cha Manchester United hakikua na msimu mzuri kwenye ligi kuu ya Uingereza licha kubeba taji la FA ambapo walimaliza nafasi nane kwenye msimamo wa ligi kuu ya Uingereza, Hivo msimu huu wanaonekana kuhitaji kubadilisha matokeo ya msimu uliomalizika na ndio sababu ya kufanya sajili kadhaa za kuboresha timu hiyo.