Marcelo Atambulishwa Rasmi Olympiacos.

Marcelo Viera da Silva Junior ndo pasipoti yake inavyosoma gwiji na nahodha za zamani wa klabu ya Real Madrid ametambulishwa rasmi ndani ya klabu ya Olympiacos ya nchini ya Ugiriki.

Beki huyo wa zamani wa klabu ya Real Madrid na timu ya taifa ya Brazil ambae aliitumikia klabu hiyo kwa mafanikio makubwa ametambulishwa rasmi mbele ya maelfu ya mashabiki wa klabu ya Olympiacos akiwa na familia yake.

marceloMarcelo amekubali kusaini kandarasi ya mwaka mmoja kuitumikia klabu hiyo kongwe na yenye mafanikio nchini Ugiriki.

Nyota huyo alieitumikia klabu ya Real Madrid kwa miaka kumi na tano ni rasmi amejiunga na Olympiacos na atavaa jezi namba 12 kama ambayo alikua akiivaa ndani ya klabu ya Real Madrid kwa niaka yote akiyohudumu klabuni hapo.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.