Aliyekuwa nyota wa Inter Milan, Mauro Icardi amesema kuwa kuhamia kwake Paris Saint-Germain ilikuwa ni hatua kubwa sana katika maisha yake.
Staa huyu, raia wa Argentina aliondoka San Siro na kuingia PSG kwa mkopo mapema kuelekea msimu wa 2019/20.
Safari yake kuelekea PSG ilikuwa ni safari ya heri, hasa baada ya mabingwa hawa wa Ufaransa kuamua kumsainisha mkataba wa kudumu klabuni hapo.
Mchango wa Icardi umeonekana katika mechi zake 31 ambazo amechangia magoli 21. Akiwa katika msimu wake wa kwanza tu na PSG amefanikiwa kuinua taji la Ligue 1. Amewafungia PSG magoli 5 katika mechi zake 6 za Ligi ya Mabingwa na kuwasaidia PSG kufikia robo fainali.
Ilikuwa muhimu kwangu kupiga hatua kubwa katika maisha yangu ya soka. Nina miaka 27 sasa, nimetumia mda mwingi sana kule Italia.”
“Nilitaka kuifikia klabu bora kama PSG kushinda mataji na kucheza katika viwango vya juu zaidi. Hii ndiyo ilinifanya nitake mabadiliko na maendeleo katika maisha yangu ya soka.”
– Mauro Icardi
Icardi alitumia miaka yake 6 kuichezea Inter, na miaka 2 kuwachezea Sampodoria, Akaondoka Serie A akiwa amefunga magoli 121 katikia gemu 219.
Miaka yake yote aliyokuwepo Italia anaiona kama miaka ambayo haijampa mafanikio yale aliyokuwa akiyahitaji kwenye soka.
Unajiuliza kwa nini ujiunge na Meridianbet! Mtu makini sana anakupa sababu hapa!
Bonyeza Hapa JIUNGE SASA
Povel
Ni kwl maisha popote kikubw nafas ya kucheza Kama mchezaj
Saupha mohamed
Safi
Furahav
Nenda kapambane,mana maisha popote.
Ernest
Binafsi naamini uwezo mkubwa ambao Icardi anao lakini sidhani Kama PSG wamenufaika zaidi na kiwango au mchango wake ni muda ambao anatakiwa kuwafanya PSG waamini uwezo wake.
warda
Sio Mbaya acha aende#Meridianbettz
Njiku
Icardi ni mchezaji mzuri sana hii ni hatua kubwa sana kwake kukipiga PSG na kuchukua mataji hapo hakuna kitu kikubwa kwa chezaji kama mataji pia kucheza uefa ligi licha ya yote icardi bado anasafari ndefu ya soka na kwa kujituma kwake vilabu vikubwa vitahitaji sahihi yake,big up icardi kwa hatua iliyoipiga kwa kuleta mafanikio kwako
Gabriel
Kwa upande wangu namtambua icard n bonge la mchezaji
mchezaji wa soka wa Argentina ambaye anacheza kama mshambuliaji wa klabu ya Italia Internazionale au Inter Milan, ambaye hutumiwa kuwa nahodha wa timu ya taifa ya Argentina.
Alianza kazi yake katika mfumo wa vijana huko Barcelona kabla ya kuhamia Sampdoria, ambako alianza kazi yake ya kitaaluma. Alijiunga na Inter mwaka 2013, ambapo alikuwamchezaji bora mara mbili mwaka wa 2014-15 na msimu wa 2017-18, ambao alipewa tuzo ya mchezaji bora katika Serie A
Hivyo kuhamia PSG tunasema bonge la shavu
Shafii
Niatua kubwa Sana kwani PSG ni timu kubwa yenye mafanikio makubwa niwakati wake sasa wa yeye kuonesha uwezo wake
Hope mwaikuka
Pongez kwake
Devotha
Hongera sana maisha popote
Amiri Kayera
Jambo zur kam mchezaji
Sabrina
Maoni:Asante kwa taarifa
Isaya massawe
PSG walifanya jambo la msingi sana kumpa mkataba wa kudumu
Theonestina
Hongera yake
Omary lukumbi
Icard ni bonge la mchezaj kwa kizazi hiki n mtu anae jituma sana tangu alipokua inter karibia club nyingi baran ulaya zilikua zinafukuzia sain yake hata man United walikua n miongoni mwao
neema hassan
Pongezi kwake
fatumakasom
Maisha popote safi
Revina
Inter watamkosa mchezaji wao mahili ,ila kijana anapambana wacha aende maisha ni popote
Aziza mushi
Siyo mbaya acha aende tu.
Mwanaidi
PSG ni timu nzuri sana so ni vizuri
Evaluziga
Nenda kapambane Maisha popote
David Pere
Kwa wakati wake ninakubaliana na kauli uake Lakini akawa akijua inter milan no timu kubwa na yenye history nzuri maana wamebeba kombe la UEFA, PSG hajawahi kuchukua, Wala hata kuingia final
Salma
Hongera kqake
Theckla
Safi
Tahiya
PSG ama kwa hakika wamefanya vyema kumpa mkataba wa kudumu
mwakalosi
kwa umri wake ni klabu sahihi
Frank Patrick
Ila anapishana na wachezaji wazuri wanatizamiwa kuondoka
Mwajuma
Hongera zake lcard
Johnmary joel
Hongera zake#meridianbett
Hamidu
Talent player#meridianbettz
Ester jackson
Icard ni mchezaji nzuri sana ambaye anajua kitu anacho kifanya na ukiangalia icard ni mchezaji ambaye anapenda sana mafanikio ya uchezaji wake hata alipo hamia katika timu ya PSG alipo ona mafanikio hapo alifurahi sana na ukizingatia akaweza kupata mkataba katika klabu huyo ni hatua mkubwa sana ambayo amefikia .#meridianbettz
Magdalena
Pongezi nyingi Sana kwake icard na kila la kheri
Tatu
Vizuri kubadilisha upope
Genia Sikaluzwe
Icard kambi popote
isha
Hongera Icard nenda salama kafanye kazi
Dorophina
Maisha popote pale kikubwa soka linachezeka vizuri
Mariam mtandama
Hongera yake
Lydia Emmanuel Magoti
Sio mbaya wacha haende
Caroline
Ni hatua kubwa sana Hongera Icardi
felister
ni wakati wako ss kuonyesha uwezo wako nakutakia kila la kheri
lombo
maisha popote kujituma ndo kila kitu
Khadija
Kwani maisha kokote juhudi yako ndio itakayo kuinua#meridianbettz
Flomena
Alitamka wazi anataka kuondoka Manchester United, bodi ya timu wakaweka pamba masikioni naamini hawakusikia hilo.
Flomena
Kambi popote
Zeiyana
Icard ni bonge la mchezaji ambaye hanayecheza kama mshambuliaji ni hatua kubwa sana kwenda PSG kwani ni timu kubwa sana ni wakati wake sasa yeye kuonesha uwezo wake
Zuhura omary kindamba
Asante Meridianbet kwa taarifa njema kwetu
Ernest
Binafsi naamini uwezo mkubwa ambao Icardi anao lakini sidhani Kama PSG wamenufaika zaidi na kiwango au mchango wake ni muda ambao anatakiwa kuwafanya PSG waamini uwezo wake.
Issa
Icard kuhamia psg kumempa nafasi sana ya kuonyesha uwezo wake tofauti na alipokuwa inter milan
Samiah
Pongezi kwake
Sadick
He is still great footballer#meridianbettz
Amani
He is still great me katika wachezaji ninao wakubali Ni icard
Neema juma
Sio mbaya
Angelina
Maisha popote