Klabu ya Juventus imethibitisha kuwa mlinzi wake, Alex Sandro amepatikana na Corona baada ya kufanyika vipimo.
Kwa mujibu wa tamko la klabu, baada ya kubainika na dalili za kuwa na Corona, maandilizi ya kumfanyia vipimo yalifanyika ambayo yalibainisha kuwa staa huyo alikuwa amepata maambukizi ya virusi vya corona.
Kupitia tovuti ya klabu, Tamko la Juventus linasea: “Klabu ya Juventus inatangaza kuwa baada ya kuonekana kwa dalili za msingi, vipimo viliandaliwa kwa ajili ya mchezaji Alex Sandro ambavyo vimeonesha kuwa ana covid-19.”

Klabu tayari imechukua hatua za msingi, mchezaji huyu kwa sasa tayari anatengwa na klabu inafanya mawasiliano na mamlaka za Afya ili kutambua hatua gani zaidi na mambo ya msingi ili waweze kuendelea na mazoezi na shughuli za ushindani za timu.
Sandro alicheza dakika 83 za mchezo dhidi ya Udinese ambao Juventus waliibuka kidedea kwa bao 4-1 pale Allianz Stadium.
Ndio, kwetu Mteja ni mfalme. Jiunge sasa na familia ya Meridianbet bila malipo yeyote na sisi tutakuzawadia bonasi ya shilingi 3,500 kama sehemu ya kukukaribisha kwenye familia hii BURE!!!. Unasubiri nini??



Rehema
Duuh! Atari sana
Rahmal
Uhu ugonjwa ni atali sana mungu atuepushe noma sana
Magdalena
Ili gonjwa limekuwa balaa
Sania
Corona sio poa
Angelina
Wazidi kuchukua tahadhari
Hopemwaikuka
Ugua pole Alex
Dorophina
Juve wamepata gepu kubwa sana
Janeflora malisa
Dah
Caroline
Poleni sana
Mwanahamisi
Corona hatari
Sarah
Ugonjwa hatari sana
Ernest Kimeru
Habari mbaya kwa Juventus
Issa
Covid moto
Lydia Emmanuel Magoti
Duu abari mbaya kwa juve
Khadija
pole yake
warda
Pole yake
Sabrina
Duuh hatari hii corona ituache jaman