Bernard Morrison maarufu kama BM33 leo jioni ametangazwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Sheria na Hadhi ya Wachezaji kuwa mchezaji huru baada ya kamati kujiridhisha kuwa mkataba wake na Yanga kuwa na mapungufu kadhaa.

Mwenyekiti wa kamati hiyo Elias Mwanjala amesema kuwa mkataba kati ya Morrison na Yanga ulikuwa na mapungufu ambayo yamefanya mkataba huo usiwe na uhalali, hivyo kamati hiyo imefutilia mbali mkataba wake na Yanga na kumfanya kuwa mchezaji huru. Japo Yanga wana nafasi ya kukata rufaa kutokana na huku hiyo.

Sambamba na hilo kamati hiyo imepeleke Morrison katika kamati ya Maadili kujadili ni kwanini alisaini klabu ya Simba kabla ya shauri lake kutolewa maamuzi na kamati. Pia kamati imemtaka Morrison kulipa pesa ya usajili USD 25000/= aliyochukua kutoka klabu ya Yanga kwaajili ya kusaini mkataba mpya.
Umekuwa mteja muaminifu wa meridianbet? Basi fahamu kuwa kuna zawadi kibao hadi 5% ya pesa yako inarejeshwa kwako. Kila wiki unaweza kurudishiwa mpaka Tsh 250,000.


Devotha
Hongera zake ila bado Morrison ni kipusa
Povel
Congrat BM33👊👊👊
Sabrina
Hongera merrison umeponea chupu chupu
Gabriel
Habar njema
Mariam mtandama
Habari njema
Hope mwaikuka
Bora limepita salama
Rose kapinga
Waoooooo!!! Kelele nying kwa simba’ake!!!!
Shafii
Gud news.
Samiah
Gud news
Rehema
Asante meridianbet kwa habari njema
Dorophina
Habari njema kwa simba
rama
Maoni:safiii tulisubili muda mrefu huku yani
Mwajumah
Hongera Morrison umeponea chupuchupu#Meridianbettz
Sadick
Ikiwa alichukua Dola 25,000 na fedha hiyo ikawa ndani ya maelezo ya mkataba ina maana alikuwa na mkataba halali hata kama ulikuwa na mapungufu. Ni full ubabaishaji#meridianbettz
Nasra
Habari njema
Sauda
Yupo kimkwanja zaidi
Adelta
Yuko kimaslahi zaidi
@meridianbettz
Ester jackson
Kuna vitu vingine tunatakiwa kujiuliza na kufikiria alisainije mkataba ambao haukuwa na kigezo kama mchezaji maarafu ambaye ameshasaini mikataba mingi na kuichezea yanga ?. kama kamati kuu ya mchezo wamedhibitisha kuwa kunaujanja ambao umetendeka kwenye mkataba wake na yanga kwanini apelekwe kwenye kamati ya nidhamu au ndio kufunika funika mambo yaende?. Yanga kama hawajamlipa pesa zake kwanini asingeshitaki kuwa hajalipwa au hamna mchezaji ambae hatakiwi kulalamika kuhusu haki yake na yanga ikachukuliwa kisheria tunatakiwa tujiulize sio kuchekelea hili.
Latifa juma mohamed
Waoooooo!!! Kelele nying kwa washabik wa Simba
Khadija
Habari njema#meridianbettz
Zeiyana
Hii ndio Tanzania bhana
Fatina mfingi
Tanzania hatar tupu
Njiku
Good news
aisha
Ahsanteni kwa kutatua sintofaham hiyo kati ya morrison na yanga africa maana maneno ya mtaani yalikua ni mengi
Lydia Emmanuel Magoti
Safii Sana habari nzuri kwamashabiki wa msimbazi Morrison ni yeye
Ernest
Mpira wa bongo umekuwa na siasa nyingi sana wakati huu, Hili swala ni aibu kwa taifa kwenye nyanja za kimichezo
Tahiya
Jamaa kajua kuuza magazet kila gazeti la michezo habari ni yeye
Salma ngende
Habari nzuri kwao
farida ahmadi
Hongera Sana Morrison
Caroline
Apa kuna namna imefanyika.si bure
Fatuma kasomo
Safi sana
Furahav
Sawa bernad.
Saupha mohamed
Safi sana
Neema
Habariii njemaaa kwetu
Aziza mushi
Habari njema
JULIANA
Safi
magdalena
inapendeza morrison kuwa huru ila tanzania tuache siasa katika soka tuucheze mpira ili taifa lifike mbali
felister
hii ndo Tanzania kwenye ukweli kunakua uwongo tena ulioopitiliza
Tatu
Merrisoni si MTU nzuri kivulugwe Hugo sina uwakika kama simba atatulia
David Pere
Good news
warda
Mie Naona Mapicha picha tu
Chiku
Upo njema Morrison