Kocha asiyeishiwa vituko wa Tottenham, Jose Mourinho amesema kocha wa Bayern Munich, Hans Flick alistahili kuchukua tuzo ya kocha bora wa UEFA wa mwaka dhidi ya kocha wa Liverpool, Jurgen Klopp.
Msimu uliopita Flick aliisaidia Bayern kushinda Bundesliga, DFB-Pokal na Champions League, wakati pia wakishinda UEFA Super Cup na DFL Super Cup mwaka 2020.
“Nadhani njia pekee kwa Flick kushinda tuzo hii, ni Bayern kushinda mashindano mengine mapya mawili au matatu.” alisema Mourinho akicheka.
“Hivyo labda akishinda mataji saba ndani ya msimu mmoja anaweza kushinda, kwasababu naamini kushinda mataji matano makubwa, Champions League, Bundesliga, Pokal, European Super Cup na German Super Cup.
“Kwahiyo nadhani Flick anahitaji mashindano mengine mapya mawili tuone kama anaweza kushinda tuzo hii.” aliongeza Mourinho.
BURUDIKA NA WANYAMAPORI WAKIIMBA NA KUPIGA VYOMBO VYA MUZIKI!
Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, furahia mchezo wa Forest Rock. Hapa utaburudika na umahiri wa wanyapori wanaoimba na kutumia vifaa vya muziki wa rock. Burudika huku ukijiwekea nafasi ya kutengeneza pesa ndefu kupitia Meridianbet!!
Fatuma kasomo
Gud news
Dorophina
Jose anataka kufurahisha balaza tu klopp ndie aliyestahili
Issa
Flick saf
Lydia Emmanuel Magoti
Nikweli yupo sahii
Adelta
Good 👍
Mwanahamisi
Gud news
Saupha mohamed
Gud news
Caroline
Fact…
Janeflora malisa
Safi
Ester jackson
Kweli kabisa anastahili kupata kocha kolppa
Tatu
Klopp ndio anastahili
samiah
Anastahili Klopp
warda
Mourinho akifugwa anapoa sana