Taarifa mbali mbali nchini Kenya zinadai Azam FC bado wanawinda saini ya kiungo mshambuliaji wa timu ya taifa ya Kenya na nahodha wa Gormahia, Kenneth Muguna.

Azam hawakufanikiwa kupata saini ya kiungo huyo mwaka jana lakini hawajakata tamaa na mwaka huu wapo kwenye mikakati ya kurudi mezani.
Kenneth Muguna amebakiza mkataba wa miezi sita na klabu yake ya Gormahia na mpaka sasa anaweza kuzungumza na klabu inayohitaji huduma yake.

Kwa sasa nchini Kenya sakata la usajili wa Muguna limeshika kasi baada ya kiungo huyo kubadilisha wakala.
Kila mtu ana namba zake za bahati, Meridianbet tunatambua namba zinaweza kukufanya milionea leo. Jilipe kwa namba zako za bahati kila baada ya dakika tano.



Sarah
Jambo zuri
Hopemwaikuka
Fresh
warda
Acha wamchukue akiwa mzuri anakuja Simba