Napoli Watia Nia kwa Tiemoue Bakayoko

Kiungo wa Chelsea, Tiemoue Bakayoko ameibuka kuwa kipaumbele cha klabu ya Napoli katika dakika za lala salama za dirisha la uhamisho.

Taarifa zinasema kuwa klabu ya Chelsea ipo tayari kumumuacha nyota huyu aondoke kwa mkopo, huku kukiwa na sharti la kumnunua.

Meneja wa Napoli, Gennaro Gattuso anaisaka saini ya staa huyu akiamini anaweza kumtumia vyema kwenye mfumo anaotaka kuutumia wa 4-2-3-1. Gattuso anamfahamu vyema Bakayoko na alishawahi kumfundisha pale Milan, anaamini kuwa ni mtu sahihi kwa nafasi hiyo kwa mujibu wa Sports Italia.

kwa mujibu wa Sportitalia, Hertha Berlin na Paris Saint-Germain ni klabu zingine zinazounga tela kufukuzia saini ya kiungo huyu.

Taarifa zinasema kuwa nyota huyu mwenye miaka 26 yupo tayari kurejea Italia, kukipiga Serie A chini ya meneja wake wa zamani Gattuso.

Napoli wanaweza kukamilisha uhamisho wa nyota huyu mapema baada ya Arkadiusz Milik kuondoka klabuni hapo, akiwa anahusishwa na kuhamia Fiorentina kwa mkopo wenye thamani ya euro milioni 5 na chaguo la sharti la kumnunua kwa euro milioni 25.


 

Beti kwa Kitochi Kushinda 300,000,000!

Unajua kuwa unaweza kushinda milioni mia tatu kwa buku tu? Ndiyo! Unaweza kushinda kwa kupiga *149*10# na kubashiri. Ingia mchezoni!

Soma Zaidi

35 Komentara

    Napoli watakuwa wamepata mchezaji mzuri tiemoue bakayoko

    Jibu

    napol kama wana dau zuri wamnyakue tu mwamba yupo vizuri

    Jibu

    Wamchukue huyu Yuko fresh

    Jibu

    Vizuri Sana Kama Napoli wame tiania kumchukua kijana huyo anajua

    Jibu

    🔥

    Jibu

    Watakua wapo sahihi wakimchukua uyu kijana

    Jibu

    mchezaji mahili napoli wamchukue

    Jibu

    Bakayoko is talent player kwenda Napoli itakuwa big deal

    Jibu

    Mshakaj namkubal na anajua sanaa

    Jibu

    Yuko vizur sana huyu mchezaji

    Jibu

    Bakayoko yupo vizuri

    Jibu

    Yuko poa

    Jibu

    Yuko vizuri

    Jibu

    Napoli kazeni wanangu hapo hapo ili mumpate

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    Gud

    Jibu

    Yuko vzr sana kijana wamchukue

    Jibu

    Napoli chukueni jembe hilo

    Jibu

    Wamchukue tu maana ni mchezaji mzuri sana

    Jibu

    Anajua

    Jibu

    Yuko vizuri wamchukuwe tu

    Jibu

    Fc NAPOLI wanajambo lao msimu huu

    Jibu

    Yupo vizuri wakimchukua itakua vizuri

    Jibu

    Napoli safi kumchukua huyu kiungo anafaa kuwasaidia

    Jibu

    Usajiri wa Bakayoko na wengine ulisababisha ugomvi kati aliyakuwa Meneja wa Chelsea, Antonio Conte na Bodi ya Chelsea mwisho wa siku alishindwa kuwa msaada kwa timu na kusajiriwa kwa mkopo AC Milan#meridianbettz

    Jibu

    Itatuwa pouwa sana kama Tiemoue Bakayoko atapata timu Chelsea naona wanamzingua tuu

    Jibu

    saf

    Jibu

    Napoli imchukue kiungohuyu

    Jibu

    Ni mchezaji makini sana

    Jibu

    Bakayoko anafanya vizuri sana

    Jibu

    Safii

    Jibu

    mchezaji mzuri tiemoue bakayoko

    Jibu

    Vizuri Sana Kama Napoli wame tiania kumchukua kijana huyo anajua

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.