Neymar Kukubali Mkataba Mpya PSG

Neymar amefikia makubaliano na Paris Saint-Germain juu ya mkataba mpya wa muda mrefu huko Parc des Princes, kwa mujibu wa taarifa.

Fowadi huyo wa Brazil, ambaye alikua mwanasoka ghali zaidi ulimwenguni wakati anajiunga PSG kutoka Barcelona kwa pauni milioni 198 mnamo 2017, alitakiwa kumaliza mkataba mwishoni mwa msimu ujao.

Hata hivyo, Neymar hivi karibuni amekuwa kwenye mazungumzo juu ya masharti mapya ya mkataba wake na kijana huyo wa miaka 28 alisema mwishoni mwa wiki kuwa “anafurahi sana” kuwa mji mkuu wa Ufaransa.

Neymar PSG

Mwandishi wa habari mwenye makao yake nchini Brazil Marcelo Bechler amedai kuwa mazungumzo hayo sasa yamekamilika, nyota huyo wa zamani wa Barca akisaini kandarasi mpya ya miaka minne.

Tangazo rasmi linatarajiwa kutolewa na PSG baadaye wiki hii.

Mabingwa hao wa Ligue 1 pia wanatarajia kumshunikiza mshambuliaji mwenzake, nyota Kylian Mbappe kuendelea kuwepo zaidi ya mwisho wa msimu ujao.


TUNGENEZA FAIDA KUPITIA KASINO YA MERIDIANBET

Neptune’s Richies ni mchezo Unaokupa pesa chap chap huku ukiwa unaburudika kupitia Kasino ya Mtandaoni ndani ya Meridianbet.

Neptune's-Riches_Casino-Post_30-January

Cheza hapa

12 Komentara

    PSG wamefanya Jambo la maana sana

    Jibu

    Safi sana amefanya jambo jema

    Jibu

    Safi sana kijana

    Jibu

    Kwa Sasa PSG wako vizuri

    Jibu

    Safi sanaaa

    Jibu

    Habari njema kwa mashabiki wa PSG

    Jibu

    Fresh tu

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Anapg pesa tu

    Jibu

    Neymar piga kazi

    Jibu

    Safii sana

    Jibu

    Jamani mwenyewe alitaka akacheze na Messi

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.