Nunes Aondolewa Kikosini Ureno

Kiungo wa klabu ya Manchester City Matheus Nunes ameondolewa katika kikosi cha timu ya taifa ya Ureno baada ya kuelezwa kupata majeraha ya misuli akiwa na timu hiyo.

Matheus Nunes amefanyiwa vipimo katika kambi ya timu ya taifa ya Ureno na kubainika kua hataweza kucheza katika michezo miwili ya timu ya taifa ya Ureno kati ya Liechtentien pamoja na Iceland.nunesMchezaji huyo bado haijafahamika ataweza kukaa nje ya uwanja kwa kipindi cha muda gani kutokana na majeraha ya misuli ambayo imekua ikimuandama na kumfanya kuondolewa kwenye kikosi cha timu ya taifa.

Kiungo Matheus Nunes ambaye amejiunga na klabu ya Manchester City katika dirisha kubwa msimu huu, Bado hajafanikiwa kuonesha cheche ambazo alikua akionesha katika klabu ya Wolverhampton.

 

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.