Mshambuliaji, Gonzalo Higuain na Kiungo, Sami Khedira hawatokuwa sehemu ya mipango kwenye kikosi cha Juventus chini ya kocha mkuu mpya, Andrea Pirlo.
Juventus wanajadili Kusitisha mikataba ya nyota hao wawili kuliko kungojea kumalizika kwa mikataba yao mnamo 2021, kulingana na vyanzo ni kwamba Mazungumzo yanaendelea juu ya malipo ya Kusitisha mikataba ya Higuain na Khedira.

Higuain, 32, alifunga mabao nane tu katika mechi 32 kwenye Serie A msimu wa 2019-20 akirejea baada ya kutumia muda mwingi kwa mkopo huko AC Milan na Chelsea – Wakati huo huo, Khedira, atakuwa tayari kumfuata Miralem Pjanic na Blaise Matuidi nje ya Klabu hiyo wakati Pirlo anapoanza kujenga upya kikosi hasa katika eneo la kiungo huko Turin.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 33 alianza mechi tisa tu kwenye ligi kwani wakati mwingine alionekana kutokuwa na kiwango kama enzi zake hapo nyuma – Juventus tayari imekamilisha uhamisho wa Arthur Melo kutoka Barcelona.

Pirlo aliteuliwa kama Kocha Mkuu mpya wa Juventus Aug. 8 licha ya kutokuwahi kuwa kocha tangu kustaafu kazi yake ya kucheza, Kiungo huyo alichukua nafasi ya Sarri, ambaye alishinda Scudetto lakini hakuweza kuipatia Juve mafanikio zaidi ya Ligi ya Mabingwa kwa kuondoshwa hatua ya 16 Bora.
Beti Mbio za Mbwa Mubashara.
Hii ni rahisi zaidi! Hapa USHINDI unaupata kwa kuchagua mbwa anayeshinda mbio na machaguo mengine yenye odds tamu.


David Pere
Ni kweli hawatamfaa kwenye mipango yake
Rehema
Asante sana meridianbet
Zeiyana
Subiri tuone mipango yake pirlo kama hayo maamuzi yataweza kuimarisha kikosi chake ukiangalia na Latina iliyo wekwa yani kuitajika vikosi viimalike zaidi ya
Adelta
Waondoke tu watapata dili sehemu nyingine@meridianbettz
aisha
Yuko sahihi pirlo kuongea hivyo
Sauda
Hawatakidhi mahitaji yake..
Adelta
Waondoke tu watapata dili sehemu nyingine@meridianbettz
Caroline
Naona wanataka kunoa kikosi
felister
naona pirlo anataka kusuka upya kikosi
magdalena
pirlo ana mipango mikali sana lakini ngoja tuone kama itafanikiwa
Ester jackson
Asante kwa nakala
Nasra
Gud news
Saupha mohamed
Asanten kwa makala
Ernest
Hizi ni changamoto ambazo wachezaji wengi wanakutana nazo wanapokuja machoka wapya kwenye timu, Lakini sio mbaya Higuani na Khedira watapata tuu timu za kukipiga
Shafii
Sio jambo la kushangaza kwenye mpira kwa sababu kila mwalimu hua anambinu zake na aina ya wachezaji anaowahitaji kufanya nao kazi.
Theckla
Umri nao tatizo
Povel
Umri tatiz vle vle kwny plan ya pirlo hawapo hao kwny msimu ujao hao
Rose kapinga
Fukuzaa hao hawafai kwa sasa!!!
Furahav
Kiwango kimekwisha.
Gabriel
Kila mtu anatambua kuwa pirlo n kocha mzur ila now hatujui kwann ameamua kufanya hivyo maana yeye ndo kocha tena mzur sana na anahistoria kubwa sana kweny mpira na club hiyo kabla ya kuwa kocha hapa ngoja tusubir matokeo tuone mwisho inakuaje?
Hope mwaikuka
Sawa babu suka kikos upya
Fatuma kasomo
Asante kwataarifa
Amiri Kayera
Watafut njia nyingne umli umeenda
Sabrina
Mmmh! Haya nangoja niome mipango take itaishia wap?
Genia Sikaluzwe
Kwa umri wao wanaitaji timu ambayo Haina changamoto sana
Issa
Umri umwatup mkono hawa watu
Dorophina
Naona pirlo anataka kupanga kikosi chake vizuri
Asia Abdy
Hawana shuhuli
Khadija
Asante kwa makala
Fatina
Umri umeenda
Sadick
Pirlo anataka kutuma salamu kwamba hatakuwa na simile msimu utakapoanza kwamba anataka kujenga upya timu kufikia malengo anayohitaji#meridianbettz
warda
Bora hata Khedira Huyo Higuain namwonaga hajui kabisa