Deco: Sipati Picha Barca Bila Messi Lakini Inaweza Kutokea.

Lionel Messi lazima ufanyike mkakati wa kumshawishi kuendelea kuwepo Camp Nou ndiyo klabu sahihi kwake hii ni kwa mujibu wa mchezaji mwenzake wa zamani wa Barcelona Deco.

Hatma ya Messi imegubikwa na sintofahamu tangu wiki mbili zilizo pita baada ya kula kipigo cha mwaka cha 8-2 dhidi ya mabingwa wapya wa Champions League klabu ya Bayern Munich katika hatua ya robo fainali.

Taarifa zinazoendelea Catalonia zinadai kwamba mshindi huyo wa tuzo ya Ballon d’Or bado yupo kwenye vuguvugu la matarajio ya kuendelea kuwepo klabuni hapo kufuatia mkutano na ujio wa kocha mpya Ronald Koeman.

Koeman ametua Barcelona baada ya Quique Setien kufungishwa virago baada ya kuwa na matokeo duni klabuni hapo.

Akiongea na Mundo Deportivo, mchezaji wa zamani wa timu ya Barca Deco ametoa hoja kwa Barca kufanya kila namna kumbakisha nyota huyo wa Argentina ilikukabiliana na ukweli usioelezeka.

“Sijui nini kitatokea kama Messi ataondoka, lakini anamkataba,” alisema Deco.

“Ni mchezaji mwenye kiu ya kushinda na itategemea Barca watafanya nini kama wakitaka kumpa ofa, sijawahi kuongea naye lakini na hakika huwa anafikiria hivyo.

“Nadhani anapaswa kufikiri kuhusu hatima ya hatua ya soka lake. Ni ngumu kufanya maamuzi kwa sababu tunazungumzia kuhusu klabu ya maisha yake kwenye mpira, sio kwamba amekuwa Barca kwa miaka mitatu au minne.

“Tunaongelea kuhusu mchezaji bora wa muda wote katika klabu, lakini ipo wazi kwamba muda wote Messi huwa anafikiria kushinda sasa nashindwa kupata picha Barcelona bila Messi ingawa inaweza kutokea.


Beti Mbio za Mbwa Mubashara

Hii ni rahisi zaidi! Hapa USHINDI unaupata kwa kuchagua mbwa anayeshinda mbio na machaguo mengine yenye odds tamu.

Cheza Hapa

43 Komentara

    Vyovyote vile poa tu

    Jibu

    Mess kuiacha barca ni ngumu sababu yeye atatumika kama kuelekeza wschezaji
    Wagen kwakuwa ye ni mkongwe aliebaki pale

    Jibu

    mi nadhani messi club yake sahihi ya kumaliza career yake ya mpira ni barca.

    Jibu

    Hivyo hivyo itakua tu

    Jibu

    tusubiri kuona barca mpya bila huyo messi

    Jibu

    Ronald Koeman anachokifanya ni kubadilisha kikosi Barca na kuanza kutengeneza upya kabisa me ninachokiona kuwa koeman anachokifanya n kizur sana 👍

    Jibu

    Ni kweli barca bila messi itapooza sana ila tamani kumuona akienda kucheza sehemu nyingine nje ya Barcelona

    Jibu

    Duh ngoj tuone chochote kinawez kana kwny maisha ya mpr ila natumain watawez kupambana bila Messi ingawah pengo lake litachukuwah muda kudhibika ila yetu macho na masikio kuckiah kitakacho jili ndan ya nou camp barcelona

    Jibu

    Messi ni mchezaji mwenye kiu ya kushinda na itategemea Barca watafanya nini kama wakitaka kumpa ofa.

    Jibu

    Barca bila messi inawezekana.

    Jibu

    Mbona hapo alipo yuko sehemu sahihi kwa wakati huu

    Jibu

    Messi akiondoka anaweza kutokea mwingine km yy.wapo wng lkn hawapewi nafasi

    Jibu

    Nadhani anapaswa kufikiri kuhusu hatima ya hatua ya soka lake. Ni ngumu kufanya maamuzi kwa sababu tunazungumzia kuhusu klabu ya maisha yake kwenye mpira, sio kwamba amekuwa Barca kwa miaka mitatu au minne.

    Jibu

    Good

    Jibu

    Hinawezekana Barcelona bila Messi haiwezekani timu nzima imtegemee mtu mmoja

    Jibu

    Maoni: daaaa barcelona bila messi watapata tabu sana mpaka kuja kuwa sawa

    Jibu

    Messi abaki hapohapo@meridianbettz

    Jibu

    Messi kuondoka Barcelona si kweli kabic ukiangalia pale messi yupo kama mcjezaji mkongwe kuwafundisha wachezaji wenzake ingekua vizuri kama hatabaki clabuni pale

    Jibu

    Duuh naona kama itakua majanga barc bila messi

    Jibu

    Barca itazorota sana

    Jibu

    Barca bila Messi.sijui itakuajee

    Jibu

    Messi akiondoka anaweza kutokea mwingine km yy.wapo wng lkn hawapewi nafasi

    Jibu

    Messi kuondoka Barcelona itakuwa ngumu mambo yote haya yanaletwa na coach koeman anataka kubadilishavtimu nzima

    Jibu

    messi aendelee tu kukaa barca panamfaa na ana uzoefu napo mpaka pale atakapostaafu

    Jibu

    nashindwa kupata picha Barcelona bila Messi itakuaje ijapokua inaweza kutokea

    Jibu

    Hayo ni mawazo yake tu katika mchezo kama wa mpira kila mchezaji anaumuhimu kwenye kikosi hicho na hata kama hatakuwepo mmoja wao lazima mechi ichezwe sasa mm sijaona umuhimu wa Kumtegemea mchezaji mmoja ingawa wapo wachezaji wengine kama Pataki kuendelea back basi ingawa watachelewa kuwa bora lakini IPO siku watakuwa bora tena

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Barca haitaweza bila mess

    Jibu

    Mmm Barca bila Messi sizani kwasababu Messi Barca ndichambo Chao akiwa pale Kati mzee wakusababisha Sasa Messi akiwa ayupo kwenye engo hile pale kutakuwa kumepwaya

    Jibu

    Messi kuondoka barcelona itakuwa ngumu

    Jibu

    Ifike kipindi Barca wanatakiwa kufahamu Messi anaweza ondoka muda wowote cha muhimu ni kujipanga kutafuta mbadala japo kuwa ngumu kupatikana mchezaji kama Messi and CR7 kwasasa.

    Jibu

    Inawezeka Sana tu

    Jibu

    Mambo yanabadilika kila siku iitwayo leo,tusiishi kwa kukarir!!!

    Jibu

    Inawezekana sana

    Jibu

    Aah watazoea t mbn kabla yake ilikuep

    Jibu

    Messi mkongwe Barca sidhan kama watafikia maamuzi hayo ya kumuondoa

    Jibu

    Duh itakua noma saana

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Messi kuondoka barcelona itakuwa ngumu

    Jibu

    Hata akiondoka watapambana na wataweza tu

    Jibu

    Sijui nini kitatokea kwa timu aliyoshiriki na kufanikiwa kushinda mataji mengi na kuishi hapo kwa miaka 20. Lakini pia nadhani Barcelona inatakiwa kufikiria kuna maisha hata baada ya Messi#meridianbettz

    Jibu

    Sio Inawezekana Itatokea Kabisa kukaa Miaka 20 Sio kitu kabisa

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.