Pochettino: Tunapaswa Kufunga Magoli

Kocha wa klabu ya Chelsea Mauricio Pochettino amesema klabu yake inapaswa kuanza kufunga mabao katika michezo yao, Kwani mpaka sasa wanacheza vizuri lakini wanapaswa kufunga magoli sasa ili kushinda mchezo.

Klabu ya Chelsea imeshindwa kufunga mabao katika michezo yake miwili yake mitatu ya mwisho, Hili jambo ambalo kocha Pochettino anaona kama ndio tatizo la msingi kwa upande wao kwasasa.pochettinoKlabu ya Chelsea msimu huu imeendelea kua na kiwango cha chini kwa msimu wa pili mfululizo, Huku makocha wakiendelea kuja tofauti tofauti ndani ya timu hiyo.

Kocha Pochettino anaamini kama watajitahidi kuhakikisha wanafunga magoli katika michezo yao ya mbeleni itawasaidia, Kwani kikawaida hwezi kushinda mchezo wa mpira wa miguu bila kufunga bao hivo ni wazi wanapaswa kufunga magoli.pochettinoKlabu ya Chelsea ni moja klabu iliyofanya usajili mkubwa mpaka sasa kwenye ligi kuu ya Uingereza tangu msimu uliomalizika, Lakini mpaka sasa muendendo wa klabu hiyo hauonekani kua kwenye uelekea mzuri licha ya kocha wa klabu hiyo kueleza wanacheza vizuri na wanachohitaji ni kufunga magoli.

 

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.