Rasmi Sasa Simba Sc Ndio Mabingwa wa VPL 2019-20

SARE ya Tanzania Prisons ya bila kufungana na Simba leo Uwanja wa Sokoine Mbeya zimehalalisha rasmi ubingwa wa Simba. Mchezo huo uliokuwa na ushindani kila timu ilikuwa ikipambana kusaka ushindi ila mwisho wa siku mbinu zikatoshana na kuwafanya wagawane pointi mojamoja.

Simba inafikisha pointi 79 ambazo haziwezi timu yoyote kwa sasa. Wapinzani wake wakubwa ambao ni Yanga kwa sasa ipo nafasi ya pili ikiwa na pointi 60 baada ya kucheza mechi 32. Mechi zake sita zilizobaki ikiwa itashinda zote itafikisha jumla ya pointi pointi 78 ambazo zimeshapotwa na Simba huku Azam ikishinda mechi zote inafikisha pointi 77.

Huu unakuwa ni ubingwa wa 21 kwa Simba na wa tatu mfululizo kubeba kwa msimu huu ilianza msimu wa 2017/18,2018/19 na 2018/20. Kikosi cha leo cha Simba kilikuwa na mabadiliko makubwa ambapo wachezaji wengi waliokuwa hawapati nafasi kikosi cha kwanza walianza.

Prisons iliyo chini ya Kocha Mkuu, Adolf Rishard ilikuwa imara kwenye mashambulizi huku kiraka Salum Kimenya akiwa ni mwiba wa safu ya ulinzi ya Simba. Manula alifanya kazi ya ziada kipindi cha kwanza kuikoa michomo ya Kimenya ambaye alikuwa akifanya majukumu yake ndani ya uwanja.

Baada ya sare hiyo Tanzania Prisons inafikisha jumla ya pointi 43 kibindoni.

40 Komentara

    Wamestahili kuchukua ubingwa wa ligi kuu bars maana walikuwa vizuri sanaa msimu huu

    Jibu

    Pongezi kwao simba

    Jibu

    Piga kelele kwa Simba wake hongereni kwa kuchukua ubingwa

    Jibu

    Simba wanastaili kupata ubigwa

    Jibu

    Katika Habari Ambayo Imenikosha Ni MNYAMA kuchukua Ubigwa Ikiwa bado hajamaliza michezo yote DUuuu Hatari Na Nusu#Meridianbettz

    Jibu

    hili lilijulikana kitambo sana

    Jibu

    pongezi ziwafikie Wana simba

    Jibu

    Wamestairi kuchukuwa kombe kwasababu ilikuwa inaoneka kitambo Kama ubingwa niwaho Simba kwaio wanasimba shangwe kufurahi ushindi

    Jibu

    Pongezi kwao

    Jibu

    Pongezi kwa mashabiki wa simba

    Jibu

    piga kelele kwa mnyama ONGERA SAAAANA KWAKE

    Jibu

    Hongera kwao

    Jibu

    Mnyama mkali achanae#meridianbett

    Jibu

    habar njema sana 👍
    Simba sport club # meridianbet Tanzania

    Jibu

    Hongera zao kwa Wana Simba wote

    Jibu

    Habari njema#meridianbettz

    Jibu

    Ni haki yao kuchukua ndoo walikuwa vizuri msimu huu

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Hongera zao

    Jibu

    Mnyama kama mnyama alistahili

    Jibu

    Hongera sana kwa Simba akeee.

    Jibu

    Congratulations simba

    Jibu

    THIS IS SIMBAAAAAAAAAAAAAAAA NA TUNABEBA TENA MWAKANI

    Jibu

    Hongera sana watan wangu wa jadi mmefanya vzr msimu huu na muda fulan zinasaidia porojo za haji manara kuaminisha shabiki nimeona mpira wa ki ubingwa mlokua mkicheza kibingwa bingwa mapigo kama Bruce lee

    Jibu

    Kabisa Simba ndo mkali wa mpira Tanzania hakuna wa kumpiku

    Jibu

    Simba bingwaaaaa

    Jibu

    Congrats Simba SC#meridianbettz

    Jibu

    Hongera kwao. Tukatane kimataifa✈️✈️✈️✈️🛩️🛩️✈️✈️✈️🚁🚁

    Jibu

    Hili liwe chachu ya kufanya vizuri mechi za kimataifa#meridianbettz

    Jibu

    Hongera simbaaaaaaaa.

    Jibu

    Safii simba

    Jibu

    Bonge la Rekodi kwa Simba, Mwaka huu wamestahili japo wameanza kushuka kiwango

    Jibu

    Maoni:Hongera simbaa

    Jibu

    Big up kwa simba walistahili kuwa mabingwa wamechukua taji hilo kwa kishindo safii kwa mashabiki wa yanga

    Jibu

    Há há mbona ubingwa lakini mmepoa.. Hakuna amsha amsha

    Jibu

    Hongera zao simba

    Jibu

    Bonge la ubingwa this is simba

    Jibu

    Hongera kwao simba

    Jibu

    Wanastahili pongezi

    Jibu

    Siiiiimbaaàaaaaaaa🔥🔥🔥🔥

    Jibu

Acha ujumbe