Romeo Lavia Pancha Tena

Makala iliyopita
Ademola Lookman Dili Lake la Kwenda PSG KizungumkutiMakala ijayo
Mctominay Njia Nyeupe kueleka Napoli
Kiungo huyo alikua akisumbuliwa na majeraha msimu uliomalizika yaliyomfanya kukosa karibia kipindi chote cha msimu kwakua alifanyiwa upasuaji wa goti, Lakini msimu huu akionekana kurejea vizuri ghafla anapata tena majeraha ambayo haijafahamika yatamueka nje kwa muda gani.