Ni mara chache sana Msanii kutoka Tanga akaja Mzizima kisha akaimba visivyoeleweka, niliwahi kumsikia Khamis Mwinjuma ‘Mwana FA’ na mitaa ikamuita Choir Master, kabla hata ya Roma Mkatoliki, am happy to say wanajua wanachoandika
Nilianza kuliona anguko la MO Ibrahim pale Msimbazi kabla hata ya majuto ya Shiza Kichuya, nilikuwa na sababu zaidi ya billion kusema hivyo, am sorry to say this kwakuwa sikuweza kumfikia na kumwambia wapi anakosea, am sorry once again
Maarifa ambayo Mwana FA aliyosema amepewa na Mfalme, ndio maarifa ambayo MO alipewa na Mfalme huyo huyo, ndipo maarifa ya kusakata kabumbu kwenye eneo la kiungo pale Mtibwa Manungu Turiani, miguu yake ikamtoa pale Mzizima na kusaini Simba, maarifa yalimpa nyadhfa
Kwenye chorus ya Mfalme, G NAKO alisema maarifa yalimpa nyadhfa kisha akaziba nyufa, Naam MO Ibrahim aliikuta Simba inachechemea sana, hakuna michuano ya Kimataifa ndani ya miaka kadhaa, lakini kipaji chake kiliwapeleka FA pale Dodoma
Kuna kitu alikisema tena FA kuhusu kuutunza mziki mzuri ‘Keeping the good music alive’, hata MO alikuwa anakifanya pale dimba la Uhuru, atapokea mpira atakavyo, atageuka atakavyo, atapiga pass atakavyo na kufunga atakavyo, ndani ya Simba alikuwa Lulu kubwa mno
Nadhani tulishawasha taa ya kijani kwa MO Ibrahim kuwa anaenda kufikia hatua kubwa kama Mbwana Samata ambae aliwahi kupita hapo, ila mwishoni mwa msimu wa 2016/17 haikuwa vile tulivyofikiria, kiukweli Mungu ana maguvu sana
Leo hii naamka nakumbuka MO alikuwepo kwa mkopo Namungo FC na hakucheza kabisa, naamka asubuhi kugundua kipaji kile sio ambacho kilimfanya Thobias Kifaru avimbe au Simba watambe, kiukweli nikakumbuka Mwana FA alisema unapata ulichoandikiwa, Mungu hakupi kama hataki
Lakini katikati ya machozi yangu naamini hata MO analia sasa hivi, ila hapaswi kulalamika hana viatu kwakuwa kuna wenzie hawana miguu, hapaswi kulia kwakua yupo Kagera kujaribu tena huku wengine hata timu hawana hivi sasa, asilie
Mwana FA alisema Yule Mfalme wetu ndie ana mipango, angetaka angetuumba Fungo na hatupaswi sana kuhukumu ni kazi yake Mfalme.
Beti kwa Kitochi Kushinda 300,000,000!
Unajua kuwa unaweza kushinda milioni mia tatu kwa buku tu? Ndiyo! Unaweza kushinda kwa kupiga *149*10# na kubashiri. Ingia mchezoni!
Dorophina
Ibrahim yupo vizuri sana akiwa uwanjani
magdalena
mo ibrahim ni kijana mdogo mwenye uwezo mkubwa awapo uwanjani
Johnmary joel
Ni mchezaji mzuri sanameridianbett#
Sadick
Maisha ndivyo yalivyo leo vile kesho vile. Dogo Tariq aliiuzwa na Chelsea kwenda Brighton kwa fedha kiduchu na leo Bayern inamutaka kwa mamilioni ya Dollar. MO akaze tu huko aliko#meridianbettz
Frank P
Mwandiko bora kabisa ndugu mwandishi
Adelta
Hii Ni makala nzuri mashabiki tunafurahia
Hopemwaikuka
Nlkua cjui hii
Venerose
Asante kwa taarifa
Shani
Mo ibrahim amepotea mapema kwenye football
Sauda
Mchezaji bora kabisa.
Fatina mfingi
Asanteh meridianbet kwa kitujuza
Elika
Huyo mchezaji ni hatar sana
aisha
Hii inaitwa kipaji bila jitihada nothing
Hidaya
Kijana yupo vizuri
Nasra
Mchezaji noma sana
Saupha mohamed
Uyo mchezaji anajituma sana
Angelina
Goodupdate
Caroline
Mwana FA ana mistari adi raha
Mwajumah
Kijana yupo vizuri
Zeiyana
Mo yupo vizuri
Khadija
Ibrahim yupo vzr sana
Issa
Mo ibrahim amekuw kama amepotea kwenye game
Fatuma kasomo
Mchezaji mzuri
Amiri Kayera
Mchezaji mwenye kipaji lakn ajitumi km anaetak mafanikio
Neema
Ibrahim yuko vzr sana
Sabrina
Mo Ibrahim ni mchezaji makini sana
Rehema
Ibrahim nimchezaji mzuri
felister
Mo Ibrahim amekua kama kapotea kwny game
Gabriel
yupo vizuri
Lydia Emmanuel Magoti
Mo lbrahim nikijana mdogo mwenye uwezo akiwa uwanjani anajua mpira
Tatu
Kupotea kwa mchezaji kutokana na jinsi mwenyewe anavyojituma juhudi zinaitajika
Ernest
Basi tujikumbushe na ule mstari unaosema “Kuna vingi vya kumuomba Mungu kabla hujamuomba utajiri”
Salma ngende
Mwamba yupo vizuri
David Pere
Basi tujikumbushe na ule mstari unaosema “Kuna vingi vya kumuomba Mungu kabla hujamuomba utajiri”
Povel
Habar njema