Simba Kurejea Kambini Juni 8

Simba imewasili leo Juni 4 kwa ndege ikitokea Mwanza huku uongozi wa timu hiyo ukiwapa wachezaji wake mapumziko ya siku nne.

simba

Ni baadhi ya wachezaji tu ndio waliopanda basi la timu hiyo lililokuja uwanja hapo kuwapokea huku wengi wakiondoka kwa kutumia usafiri binafsi.

Meneja wa Simba, Patrick Rweyemamu amesema: “Wachezaji wamepewa mapumziko hadi Juni 8 watakaporejea mazoezini kujiandaa na mechi zilizobaki za Ligi Kuu Bara”.

Patrick Rweyemamu

Simba itacheza Juni 19 na Polisi Tanzania kwenye Uwanja wa CCM Kirumba ambapo Polisi wameamua kuutumia uwanja huo badala ya Ushirika uliopo Moshi.


MAANA KAMILI YA USHINDI KATIKA KASINO ZA MERIDIANBETI NI PAMOJA NA MCHEZO WA PANDA PANDA.

Hii ndiyo burudani yenye ushindi! Ingia kwenye kasino ya Meridianbet kufukuzia ushindi huu. Cheza sasa Panda Panda na uwe moja ya washindi na Mabingwa.

Gomes, Gomes : Sitafanya Usajili wa Kutisha., Meridianbet

CHEZA HAPA

3 Komentara

    Vizuri

    Jibu

    Kila la kheri

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.