Bodi ya ligi kuu nchini Tanzania (TPBL) imetangaza rasmi ratiba ya msimu Mpya wa ligi kuu bara unaotarajia kuanza mnamo September 6, 2020.
Mabingwa watetezi wa Simba Sc watafungua pazia dhidi ya Ihefu ya Mbeya siku ya Jumamosi September 6, 2020 wakati mabingwa wa Kihistoria Yanga Wakicheza na Tanzania Prison siku ya jumapili kwenye uwanja wa Mkapa saa moja usiku.
Mchezo wa watani wa Jadi kati ya Simba na Yanga utachezwa Oktoba 18 majira ya saa 11 jioni kwenye uwanja wa Mkapa.

Mechi zingine zitakazofungua ligi hiyo ni pamoja na Namungo Vs Coastal Unioni, Biashara Vs Gwambina, Dodoma Mji Vs Mwadui, Mtibwa Vs Ruvu Shooting, KMC vs Mbeya City, Kagera Sugar Vs JKT Tanzania na Azam Vs Polisi Tanzania.
Drops and Wins!
Umeijua hii? Ni promosheni kabambe ya ushindi kwenye Casino ya mtandaoni ya Meridianbet! Unaweza kushinda hadi Euro 2,000,000 leo.


Povel
Habar njema kwa wapenz na mashabik wa VPl kila la kheri K/Koo dabi
Sabrina
We wee mashabiki tunasubiri kwa hamu sana hiyo dabi mechi tuone nani atamkalisha mwenzie
Devotha
Mashabiki tunasubiri hiyo dabi tumuone Morison
Gabriel
Hii mechi iatkuwa kal sana kwan itakuwa mech ambayo ni yakuonyesha kuwa yanga wanauwezo gan maana wamepunguza magarasa kibao now wapo vidume tupu siku hiyo naingojea kwa ham
Issa
Mechi ya kisasi lazima wakae wana wa msimbazi
Shafii
Patakua hapatoshi.
Dorophina
Hii mechi yanga hawatoweza kukaa kimya lazima watataka kulipiza kisasi tu
Asia Abdy
Can’t wait
Aziza mushi
Ntunasubiri kwa hmu.
Sauda
Tunasubiri mtanange
aisha
Piga kelele kwa simba yake nauona ushindi kwa simba kabla siku iyo haijafika simba oyeeeeee
Zeiyana
Tuna subiri kwa hamu zote mtanange simba vs yanga so tumeona usajiri mkubwa sana walio fanya. tuone vidume kazni
magdalena
mtanange tunaousubiria kwa hamu zote tunataka kutona nani mbabe kwa mwenzake baada ya kufanya usajili wa wachezaji wapya
Flomena
Good news
Ernest
Tombe uzima tuu bado kitambo kidogo sana tuanze msimu mpya wa kandanda safi
Caroline
Jamani jamani I can’t imagine .itakua rahaaa
Ester jackson
Tunasubiti kuona mambo yatakuwaje mana kuona wapizani kama nawaona walivyo kuwa ….(……)
felister
patakua hapatoshi tuombe dua mwenyezi mungu atupe uzima
Lydia Emmanuel Magoti
Washabiki wasimba sisi shangwe tuuu afekipa afe beki apatoshi siku hiyo nyavu kutikiswa tuu hapo
Saupha mohamed
Atalii nasubili kwa hamu
Venerose
Habari njema
Shan
Patachimbika kiwanjani.
Salma ngende
Asiye na mwana abebe jiwe
Neema
Sijui itakuaje siku hiyo tunaisubiria kwa hamu
Furahav
Tunasubili kwa amu hiyo ligi kuu ya tanzania.
Hope mwaikuka
Itakua balaa mjin
Theonestina
Yanga lazima akae
Janeflora malisa
Mambo mazur
Khadija
Mashabiki wa simba tusasubili kwa hamu mtanange wa haina yake simba piga yangaaaa
Mwajumah
Patakua hapatoshi iyo siku#Meridianbettz
David Pere
mechi iatkuwa kal sana kwan itakuwa mech ambayo ni yakuonyesha kuwa yanga wanauwezo gan maana wamepunguza magarasa kibao now wapo vidume tupu siku hiyo naingojea kwa hamu sanaa
Omary lukumbi
Hii kariakoo darby inakuaga na matukio ya kushangaza
Sadick
Kariakoo derby#meridianbettz
warda
Hiii itakuwa moto