Simba Yaanza Vizuri NBC 2024/25
Makala iliyopita
Chelsea Wataendelea Kuikazia Man City leo kwenye Super Sunday?
Makala ijayo
Ivan Toney Kutimkia Saudia
Wekundu wa Msimbazi waliendelea kumiliki mchezo kwa kiwango kikubwa na kuendelea kufika langoni mwa timu ya Tabora Fc mara kwa mara lakini hawakufanikiwa kupata bao la pili ndani ya kipindi cha kwanza ambapo mchezo ulienda mapumziko wakiwa wanaongoza kwa goli moja tu.