Djokovic Aomba Radhi US Open

Mchezaji nyota wa tenisi – Novak Djokovic alijikuta katika wakati mgumu baada ya kushindwa kuvumilia hasira zake na kumdhuru msimamizi wa mchezo.

Kitendo hicho kilitokea wakati Novak akiwa uwanjani kupambana na Pablo Correno Busta. Novak alitoa tenesi mfukoni na kuipiga nyumba ya mpinzani wake, tenisi hiyo ilimgonga msimamizi katika sehemu yake ya koo.

Kwa kitendo hiki, Novak ameondolewa katika mchezo huo na hivyo hatoshiriki hatua zinazofata.

Djokovic
Novak Djokovic akizungumza na msimamizi wa mchezo

 

Novak Djokovic aomba radhi kwa kumuumiza msimamizi.

“Nimejisikia vibaya kwa kilichotokea. Nilimuangalia mshika kipendera na aliniambia, mshukuru Mungu msimamizi ni mzima.

“Ninaomba samahani kwa kumuumiza. Sikudhamiria , sitomtaja jina lake kwasababu ninaheshimu usiri wake.

“Kwa kuondolewa kwenye mashindano, ninahitaji kukaa chini na kujitafakari na kutumia funzo hili kukua kama mchezaji na kibinadamu. Ninaomba radhi kwa US Open na kila mtu aliyehusika kwenye kosa langu.

“Ninaishukuru timu na familia yangu kwa kuwa bega kwa bega na mimi pamoja na mashabiki zangu ambao wameendelea kunishika mkono. Asanteni na mnisamehe sana” alisema Novak Djokovic.


SHINDA NA MERIDIANBET!

Tengeneza pesa kidijitali kwa kubashiri mbio za farasi hapa Meridianbet! Chagua nani ashinde, unakusanya mkwanja.

Cheza Sasa.

21 Komentara

    kama kaomba msamaha ni bora wakamsamehe sababu hakukusudia kufanya vile ni ajali tu

    Jibu

    Kama kaomba radhi kafanya jambo jema

    Jibu

    Oky novak wewe ni binadamu napia hakuna binadam aliyekamilika katika hii dunia isipokua mungu tuu ila kinachotakiwa usirudie tena kujeruhi hisia za mtu tena unatakiwa uzikontroo hisia zako

    Jibu

    Kama kaomba msamahaa msikilizen kwasababu niasila tuu zilikuwa kwasababu kila mfanya kosa usamewa amekili amekosa

    Jibu

    ni changamoto azidi kupambna

    Jibu

    Daah wamsamee tu,

    Jibu

    Doooo so sad and sorry for Novak

    Jibu

    Jambo jema kwa kujishusha cz hakutarajia lait km yangelitokea , so sorry Djokovic.

    Jibu

    kafanya vizuri kuomba radhi kwani kajia kosa lake

    Jibu

    Novak Djokovic kaharibu CV yake, kilikuwa kisicho cha kimichezo. Lakini muhimu ameonyesha uungwana kwa kuomba radhi#meridianbettz

    Jibu

    Bora wamsamehe tuu

    Jibu

    Asamehewe tuu

    Jibu

    Wamsamehe tu anasema hajsdhamilia

    Jibu

    Hasira hasara kama ameomba msamaha asemehewe tu alishindwa kujizuia mihemko yake

    Jibu

    Wamsamehe tu#Meridianbettz

    Jibu

    wamsamehe tu

    Jibu

    Asamehewe Mana ametambua kosa lake

    Jibu

    Akuna msamahaa wowote sheria hifuate mkondo wake iwe funzo kwa wengine

    Jibu

    Wamsamehe tu ni hasira labda hakutegemea kama atafanya ivyo

    Jibu

    Amechukua uamuzi sahihi sana

    Jibu

    Wamsamehetu

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.