Roger Federer Awasha Moto Qatar Open.

Mchezaji wa tenesi raia wa Uswisi – Roger Federer amerejea tena uwanjani ikia ni miezi 14 tangu alipocheza mchezo wake wa mwisho.

Federer alikuwa nje ya uwanja baada ya kufanyiwa upasuaji wa goli mara 2 na aliikosa michuano kadhaa kabla ya kurejea kwenye mashindano ya Qatar Open 2021.

Bingwa huyu wa Grand Slam mara 20, alikuwa uwanjani akichuana na Muingereza- Dan Evans katika mchezo uliochezwa jijini Doha, Qatar.

Roger Federer aliibuka kidedea kwenye mchezo huo kwa kumbwaga Dan Evans kwa matokeo ya seti 7-6 (10-8) 3-6 7-5 na sasa amefuzu hatua ta robo fainali.

Federer (kushoto) baada ya mchezo dhidi ya Dan Evans (kushoto) kwenye Qatar Open 2021.

“Ninajisikia vizuri kurudi uwanjani. Ni vizuri kuwepo hapa iwe nimeshinda au nimefungwa, ni burudani.

“Sijui kama maumivu yataisha kabisa. Unajisikia mchovu na unashindwa kujua kama ni misuli au la. Kitu cha muhimu ni nitakavyojisikia kesho, keshokutwa na kwa miezi 6 ijayo.” Alisema Federer.

Federer ambaye ni bingwa mara 3 wa mashindano ya Qatar Open, atachuana na Nikoloz Basilashvili kwenye mchezo wa robo fainali.


Ni Burudani Iliyokithiri na Mkwanja Nje Nje Katika Mchezo Halisi wa Chicago Gold.

Fanikisha malengo yako bila kuumiza kichwa, tengeneza mkwanja bila wasiwasi na kasino ya Meridianbet. Jiunge sasa Ufurahie Chicago Gold kasino.

CHEZA HAPA

8 Komentara

    Hata mie nimefurahia ujio wake

    Jibu

    Roger karibu tena jukwaani

    Jibu

    Yupo vizuri

    Jibu

    Guud

    Jibu

    Yupo vizuri

    Jibu

    Yuko poa sana

    Jibu

    Yupo vizuri

    Jibu

    Safi san

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.