Tetesi zinasema Baba yake Lionel Messi na wakala wake, Jorge, wamekutana na rais wa Barcelona Josep Maria Bartomeu, aliyesema kwamba klabu hiyo haitafanya mazungumzo ya kumuuza mshambuliaji huyo wa Argentina, 33.
Mkutano wa kwanza tangu Messi kutoa ombi la kuondoka klabu hiyo ukiishia bila makubaliano huku Barcelona ikisema ofa ya miaka miwili kwa mchezaji huyo bado ipo.
Kima cha malipo ili Messi aruhusiwe kuondoka Barcelona huenda kikawa kidogo pengine hata euro milioni 100.

Tetesi zinasema Manchester United imealikwa katika majadiliano na Bayern Munich kuhusu kiungo wa kati Thiago Alcantara, 29.
Kocha mpya wa Barcelona Ronald Koeman anataka klabu hiyo kufanya kila linaloweza kumsajili kiungo wa kati wa Liverpool na Uholanzi Georginio Wijnaldum, 29.
Aston Villa inakabiliwa na ushindani kutoka kwa Newcastle katika mbio zake za kutaka kumsajili mshambuliaji wa Bournemouth na England Callum Wilson, 28.
Tetesi zinasema Paris St-Germain imepunguza fursa ya uwezekano wa kumsajili kiungo wa kati wa Ufaransa, Matteo Guendouzi, 21, kutoka Arsenal.
DC United imechukua hatua ya kumtafuta mshambuliaji wa Juventus Gonzalo Higuain, 32, na pia inamnyatia kiungo wa kati wa Everton kutoka Iceland, Gylfi Sigurdsson, 30.

Tetesi zinasema Mchezaji wa kimataifa wa Argentina Gonzalo Higuain amepata ofa kutoka Ufaransa, England, Uhispania na China, kulingana na ajenti wa mchezaji huyo.
Watford huenda ikafikiria kumruhusu mshambuliaji Troy Deeney, 32, kuhamia kwingine kwa mkopo na kumrejesha ikiwa watapandishwa daraja tena katika Ligi ya Primia.
Tetesi zinasema Mlinzi wa Uhispania Eric Garcia, 19, anasema ataondoka Manchester City mkataba wake utakapoisha mwisho wa msimu.
West Brom imeimarisha juhudi zake za kumtafuta winga wa England anayekipiga katika kikosi cha umri wa chini ya miaka 21 Grady Diangana, 22, kwa kutoa ofa kwa West Ham, makubaliano ambayo huenda yakapandisha kima chake hadi pauni milioni 18 huku kukiwa na uwezekano wa kima hicho kuengezeka zaidi.

Washambuliaji wa Arsenal Ainsley Maitland-Niles na Kieran Tierney, wote wakiwa na umri wa miaka 23, watasalia klabu hiyo baada ya kocha Mikel Arteta kusema wazi kwamba anataka wawe sehemu ya kikosi chake.
Kiungo wa kati wa West Ham na England Declan Rice, 21, ameombwa kusalia katika klabu hiyo na chanzo ambacho si cha kawaida. WWE wrestler Triple H.
SHINDA NA HI LO
Sasa hii ni rahisi zaidi kupata USHINDI! Unatabiri karata ipi ipo chini au juu, kisha unakusanya mkwanja wako.


magdalena
barca wamuachie tu mwamba asepe maana wakimlazimisha sana kubaki anaweza akawafanyia madudu
Rehema
Asante kwa taarifa
Mwajumah
Barca wanamlazimisha Messi kubaki wanini wamuache tu aende anapopataka yy abadilishe upepo#Meridianbettz
Gabriel
Eric Garcia ni Beki mzur sana amekua akipewa nafasi ya kucheza mara kwa mara na meneja wa Manchester City Pep Guardiola, na ameonyesha kuwa na uwezo mkubwa kisoka, lakini mpaka sasa amegoma kusaini mkataba mpya wa kuendelea kuwatumikia matajiri hao wa mjini Manchester
Kwa uwezo wa bek huyu inawatamanisha club nying kutaka kumsajil maana uwezo wake n mkubwa sana kwenye upande wa ulinzi kwa usajil wake umekaa poa na maana namkubal sana huyu beki
Adelta
Mashabiki tunashukuru kwa taarifa
@meridianbettz
felister
barca hawana aja ya kumlazimisha mtu kuendelea kubakia klabuni ili hali mwenyewe hataki wamuache tu aende zake na iyo ofa ya miaka miwili wanayotaka kumpa waifutilie mbali
Neema
Asante kwa taarifa
Mwanahamisi
Barca hawana haja ya kumlazimisha mtu aendelee kubaki
Rehema Dickson
Habari nzuri sana Asante meridian bet
Adelta
Mashabiki tunashukuru kwa taarifa
@meridianbettz
Dorophina
Messi akubariane tu na Barca kwa hiyo ofa aliyoambiwa ya miaka miwili ndio haachane nao laasivyo watamkatalia kuondoka Barca kwasababu bado wanamuhitaji
Ernest
Kwa heshima tuu ya Messi Barca wanatakiwa wamuachie kuchagua Mustakabari wa Maisha yake ya Soka
Tatu
Inavyoonekana koeman hana mpango kabisa wa kufikilia mess ameona bora apambane na wengine
Lydia Emmanuel Magoti
Barcelona wasimng’ang’a nie Messi mwisho wasiku watakuja kumona mbaya zaidi mtu anaitaka kusepa wamuache aende timu anayo iyona yeye ipovizuri kwake
lombo
habar njema
Nasra
Asantee kwa taarifa
Sauda
Uamuzi ni wake, mwacheni aende anapotaka.
Hilda
Asnteni kwa makala nzur meridian
Fatina mfigi
Mmmh seseke la messi bado linaendeleaa ngoja tuone mwisho itakuwaje!
rama
mhh barcelona hwaitaji kabisa kumuachia messi yani
Shani
Good news
Johnmary joel
Muacheni aende mahali moyowake uko tayari kwenda kuchezea#meridianbett
aisha
Taarifa nzur za usajir
Furahav
Habari nzuri.
MnonganeJR
Thiago fundi wa mpira nategemea atafanya makubwa akija EPL #meridianbettz
Khadija
Habari njema
Frank P
Triple H kumbe ni shabiki wa westham
Povel
Nice update za michezo na burudani
Saupha mohamed
Good news
Amiri Kayera
Saf Kwa habar nzur za usajir
Theonestina
Asante meridianbet kwa makala nzuri
Theckla
Duuu sio kwa kulazimishana huko
Rose kapinga
Messi habari ya mjini,mtu ukiwa fundi bwana wanapata tabu sanaaaa!!!!!
Genia Sikaluzwe
Habari njema
Shafii
Isingekua jambo rahisi barca kumuachia messi mfalme.
farida ahmadi
Messi hana maamuzi yake kubaki Barcelona hama kuondoka
Ester jackson
Kwa jinsi messi walivyo itumikia timu hiyo wangemuaga kwa heshima kubwa kuliko kufanya hivyo
Samiah
Nihabar njemaaa sanaaa
Hope mwaikuka
Zko poa
warda
Huwaga mna habari nzuri sana