Tetesi za Soka Barani Ulaya.


Tetesi zinasema Manchester United wako kwenye mazungumzo ya kumsajili mshambuliaji wa Ufaransa Ousmane Dembele, 23, kutoka Barcelona. Japo vyanzo vingine kutoka United vimepuuza kuhusishwa huko na Dembele.

Paris St-Germain wana uhakika kwamba kiungo wa Tottenham Hotspur na England Dele Alli, 24, anataka kujiunga na klabu hiyo kwa mkopo wa msimu mzima.

Mlinzi wa Norwich City Muingereza Max Aarons (20) amekubali mkataba wa miaka mitano kujiunga na Barcelona.

 

Tetesi za Soka Barani Ulaya.
 

Tetesi zinasema Kiungo wa Klabu ya Arsenal na Ufaransa Matteo Guendouzi, 21, ameomba kuondoka klabuni hapo.

Borussia Dortmund wana uhakika winga wa England Jadon Sancho, 20, hataondoka kwenye klabu hiyo msimu huu wa usajili, licha ya kuhusishwa na Manchester United.

Tetesi zinasema Newcastle United wanamtaka mshambuliaji wa Napoli na Poland, Arkadiusz Milik, 26.

Southampton wako kwenye mazungumzo ya kumsajili kiungo wa kati raia wa England Tom Davies kutoka Everton.

Arsenal imepata mpinzani wa klabu inayoshiriki ligi ya mabingwa Ulaya, katika mbio zake za kumwania kiungo wa Lyon na Ufaransa Houssem Aouar, 22.

 

Tetesi za Soka Barani Ulaya.

Tetesi zinasema kipa wa Argentina Sergio Romero, 33, anataka kuondoka Manchester United.

Tetesi zinasema mlinzi wa Chelsea mjerumani Antonio Rudiger, 27, anaangalia hatma yake klabuni hapo baada ya kuachwa kwenye kikosi cha kwanza.

Mlinzi wa Bayer Leverkusen, mjerumani Jonathan Tah, 24, hayuko kwenye orodha muhimu ya wachezaji wanaowaniwa na Leicester City.

Fulham wanajaribu kumsajili kwa mkopo winga wa zamani wa Everton na Charlton Ademola Lookman. Muingereza huyo mwenye umri wa miaka 22 kwa sasa anachezea RB Leipzig.

Tetesi zinasema kiungo wa Manchester United na England Jesse Lingard, 27, hatajiunga na Tottenham licha ya kuhusishwa kwake kutaka kuhamia timu hiyo.

 

Tetesi za Soka Barani Ulaya.

Mashetani wekundu The Red Devils kumuongezea mkataba wa hadi mwaka mmoja Lingard ili kutunza thamani yake ya £25m.

Tetesi zinasema Winga wa Southampton, raia wa Morocco Sofiane Boufal, 27, anawaniwa na klabu ya Ufaransa ya Angers.

Winga wa Wales Daniel James, 22, huenda asiondoke Manchester United msimu huu, licha ya kuhusishwa na Leeds United.


FURAHIA KASINO YA MTANDAONI

Tembelea ardhi ya maajabu ushangazwe na mengi ikiwa ni pamoja na urahisi wa kujipatia utajiri kupitia Kasino ya Meridianbet.

Cheza Sasa

33 Komentara

    Dembele akienda man u itakuwa dili poa sana kwa upande wao wote

    Jibu

    Kambi popote dembele

    Jibu

    Kikubwa maslai

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Man u watakuwa wamepata jembe

    Jibu

    Kambi popote tu dembele

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Kambi popote

    Jibu

    Kambi popote kikubwa maslahi

    Jibu

    Maisha popote

    Jibu

    Habari nzuri

    Jibu

    Usajili unaendelea!!!

    Jibu

    Kikubwa maslahi.

    Jibu

    Nihabari njema

    Jibu

    united hawawezi kumuachia lingard sababu wana pengo kubwa sana la kukosa wachezaji

    Jibu

    Zmekaa poa

    Jibu

    Ni kweli man u wanaitaji wasajili wachezaji mwenye uwezo mkubwa ili warudishe timu yao kwenye ubora kama awali

    Jibu

    Imekaa poa sana 👍

    Jibu

    Kikubwa maslai

    Jibu

    Kambi popote

    Jibu

    Man u hapo mkimpata huyu jamaa mtakua mmeuwaaaa

    Jibu

    Taalifa nzur za usajir

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Lingaard amekuw na msimu mbovu united ila wampe muda azid kuimarisha kiwango chake

    Jibu

    Sio mbaya Dele Alli akitua PSG

    Jibu

    kikubwa maslai

    Jibu

    Good

    Jibu

    Dortumnd wangejuwa ni kiasi gani wanawatesa Man U, Sema kiukweli Sancho anaipenda Dortumund anaona anaweza fanya makubwa akiwa na Dortmund na sio Manchester

    Jibu

    Zime kaa poa

    Jibu

    Asnt kwa taarif

    Jibu

    Popote kambi

    Jibu

    united hawawezi kumuachia lingard sababu wana pengo kubwa sana la kukosa wachezaji

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.