Tetesi zinasema Manchester United imeanza mazungumzo na Barcelona kuhusu kumnyakua kwa mkopo mshambuliaji Mfaransa Ousmane Dembele 23.
Tottenham wamemaliza makubaliano ya kumsajili mshambuliaji wa Benfica Carlos Vinicius,25, kwa mkopo, ambaye gharama ya kuondoka kwake ni kiasi cha pauni milioni 89 kwa mujibu wa kufungu cha mkataba wake.
Tetesi zinasema wakala wa mshambuliaji wa Real Madrid Luka Jovic,22, amesema raia huyo wa Serbia anataka kujiunga na Manchester United, huku inter Milan na Roma zikimtolea macho pia.

Tetesi zinasema Liverpool wanajiandaa kukubali ofa ya pauni milioni 23 kutoka Sheffield kwa ajili ya mshambuliaji Rhian Brewster.
Manchester United wamekataa kuhusishwa kwao na taarifa za kumsajili Ainsley Maitland-Niles,23, ambaye anaweza kucheza nafasi ya ulinzi na kiungo wa kati kutoka Arsenal.
Tetesi zinasema Arsenal wako kwenye mazungumzo ya kumtoa kwa mkopo kiungo wao wa kati Matteo Guendouzi kwenda Marseille.

Chelsea inaweza kuongeza wachezaji wa kuondoka kwenye klabu hiyo kwa kumuuza mlinzi Mhispania Marcos Alsonso, 29, beki wa kati Antonio Rudiger, 27, na kiungo wa kati Ruben Loftus-Cheek, 24 kabla ya kufungwa kwa dirisha la usajili.
Newcastle United wanajiandaa kupambana na Valencia katika mbio za kumsajili mlinzi wa Juventus Daniele Rugani ambaye pia anahusishwa na taarifa za kutakiwa na Fulham, West Ham na Sevilla.
Arsenal wameongeza jitihada za kumshawishi kiungo wa kati anayekipiga Lyon Houssem Aouar,22, huku rais wa klabu Jean- Michel Aulas akikiri kuwa wanaweza ”kuwapoteza wachezaji wawili” kabla ya muda wa mwisho.

Ofa ya hivi karibuni ya Roma kwa beki wa kati wa Manchester United Chris Smalling ya pauni milioni 10.9 pamoja na marupurupu mengine ya thamani ya pauni milioni 2.7 inafikiliwa na klabu hiyo ya Old Trafford.
Tetesi zinasema Aston villa wako mbioni kumsaini beki wa kati Kerr Smith ,15, kutoka Dundee United.
Beti kwa Kitochi Kushinda 300,000,000!
Unajua kuwa unaweza kushinda milioni mia tatu kwa buku tu? Ndiyo! Unaweza kushinda kwa kupiga *149*10# na kubashiri. Ingia mchezoni!


magdalena
united naona wanataka kuunda kikosi kizuri kwa ajili ya msimu huu maana wameanza kuchukua wachezaji wenye viwango vizuri
Adelta
Hii makala imekaa vizuri inatuonyesha jinsi vikosi vipya vinaanza
Elika
Man u kwa msimu huu nadhani watakuwa vizuri sana
Rehema
Iko poa
Mwanahamisi
Gud news
Dorophina
Man u bado wanapambana tu na wachezaji wa barca
farida ahmadi
Habari njema
Angelina
Goodupdate
Mwajumah
Habari njema
Fatina mfigi
Safi
Tatu
Chelsea naona bado wanataka kuongeza vifaa lampard bado ajalizika
Venerose
Good
Caroline
Asante kwa taarifa
Lydia Emmanuel Magoti
Habari nzuri
Ester jackson
Man u ikimpata ndembele itakuwa balaa
Khadija
Iko poa
Ernest
Man U naona ngoma ngumu kwa Sancho
Neema
Habari njema
Salma ngende
Habari nzuri
aisha
Man u mnakwama wapi jamani mbona ivyo
Nasra
Gud news
Sabrina
Inapendeza
Mariam mtandama
Vizur
Venerose
Iko poa sana
Saupha mohamed
Good news
Rose kapinga
Safiiii
felister
man u naona wamechemka kwa sancho
Sylvester
Dembele abaki tu Barcelona sababu kule hachezi na ana majeraha makubwa Manchester atakuja kufanya nn?
Amiri Kayera
Man u ikimpata dembe uyo Sancho atutomuwaza
David Pere
Dembele abaki tu Barcelona sababu kule hachezi na ana majeraha makubwa Manchester atakuja kufanya nn?
Sauda
Taarifa ziko poa
Zeiyana
Arsenal juudi zao zote kuinasa sain ya Aouar
Hopemwaikuka
Ni njema
Povel
Nice update
Shani
Man ikimchukua dembele itakua imefanywa safi
Gabriel
Nice update 👍
Samiah
Nice