Tetesi za Soka Barani Ulaya.


Tetesi zinasema Tottenham wamekataa ofa ya mkopo wa pauni milioni 1.5 kutoka Paris St-Germain kwa ajili ya Dele Alli na mchezaji huyo, 24, anajiandaa kuendelea kusalia kwenye klabu hiyo ya London.

Spurs pia imeweka ofa ya mkopo kwa ajili ya mlinzi Antonio Rudiger, 27, anayekipiga Chelsea, wakati mazungumzo yakiendelea kati ya mahasimu hao wa London.

 

Tetesi za Soka Barani Ulaya.

Arsenal wamekubali dili la mkopo kwa ajili ya mlinzi wa Uruguay Lucas Torreira, 24, kwenda Atletico Madrid, na hatua hiyo itawaruhusu kumsajili kiungo wa kati Hossem Aouar, 22, kutoka Lyon.

Paris Saint-Germain wanaweza kudhoofisha mpango wa washika bunduki kumshawishi Aouar baada ya pia kuingia kwenye mazungumzo ya kumnasa Mfaransa huyo.

Tetesi zinasema Leicester City inajiandaa kutoa ofa ya mkataba mpya kwa winga Harvey Barnes, 22.

 

Tetesi za Soka Barani Ulaya.

Tetesi zinasema Inter Milan wanajiandaa kumnasa beki wa kushoto wa Chelsea Marcos Alonso, 29.

Leicester City wako tayari kupokea ofa kwa ajili ya winga Demarai Gray, ambaye yuko mwaka wa mwisho wa mkataba wake na klabu hiyo.

Tetesi zinasema Manchester United wanajaribu kumsajili winga wa Atalanta na Ivory Coast Amad Traore, 18.

 

Tetesi za Soka Barani Ulaya.

Fulham wanajaribu kuwanasa mabeki wa kati wawili kabla ya kufungwa kwa dirisha la usajili tarehe 5 mwezi Oktoba, huku klabu ikimfuatilia mlinzi wa PSV Eindhoven Timo Baumgartl, 24.


Beti kwa Kitochi Kushinda 300,000,000!

Unajua kuwa unaweza kushinda milioni mia tatu kwa buku tu? Ndiyo! Unaweza kushinda kwa kupiga *149*10# na kubashiri. Ingia mchezoni!

Soma Zaidi

32 Komentara

    Arsenal wakifanikiwa kumsajili aouar watakuwa wamefanya usajili mzuri sana

    Jibu

    Kikubwa arsenal wamsajili tu waone maajabu yake

    Jibu

    inter millan naona nao wanataka kukitengeneza kikosi chao vyema zaidi

    Jibu

    Wafanye usajili tu kwa huyo kiungo

    Jibu

    Kila lakheri intermilan kwa kujiandaa kumnasa beki wa kushoto wa Chelsea Marcos Alonso ,29.

    Jibu

    Arsenal weken mzigo mchukue kiungo huyo

    Jibu

    Dele Alli ameshaingia kigundu na Mourinho kazi anayo

    Jibu

    Inter wakimpata Marcos itakuwa vizuri sana

    Jibu

    Pole Dele Alli

    Jibu

    Wafanye usajili tu kwa uyo kiungo

    Jibu

    Pole yake

    Jibu

    Duuh

    Jibu

    Update za usajil mambo ni moto

    Jibu

    Aiseee

    Jibu

    wafanye tu uwo usajiri tujue inakuwaje

    Jibu

    Pole yk

    Jibu

    Usajili unazidi kupamba moto

    Jibu

    Zko poa

    Jibu

    Pole yake

    Jibu

    Pambaneni ili mumpate jembe hilo

    Jibu

    Huyo sio wakuachwa wajitahidi kumsajili

    Jibu

    Wafanye tu mpango wamsajili uyo kijana

    Jibu

    Usajili upon motooo atalii

    Jibu

    United imchukue traore kwa sabab anajua kazi yake

    Jibu

    Fulham ijitahid irudishe hadhi yake

    Jibu

    Usajili umepamba motoo

    Jibu

    Usajili ni motoo

    Jibu

    Taalifa nzurii za usajir

    Jibu

    Taarifa na ratiba njema ilikuwa.

    Jibu

    Arsenal wakifanikiwa kumsajili aouar watakuwa wamefanya usajili mzuri

    Jibu

    Duuh

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.