Kuelekea michezo ya UEFA Nations League, timu mbali mbali zimetoa orodha ya wachezaji watakaoshiriki muendelezo wa michezo hiyo.
Gareth Southgate ametangaza kikosi chake cha Uingereza. Mason Greenwood na Phil Foden wametemwa katika kikosi hicho. Calvert- Lewin na Bukayo Saka wapewa nafasi kwa mara ya kwanza.
Greenwood na Foden walivunja sheria za COVID19 katika kambi yao kwenye michezo ya mwisho na sasa wametupwa nje ya kikosi hicho. Harry Maguire amerejea tena kwenye kikosi cha Uingereza baada ya kutolewa mapema mwezi uliopita kutokana na sakata la vurugu akiwa Ugiriki.
Mabingwa wa dunia – Ufaransa, wametangaza kikosi chao na Paul Pogba amerejea tena kwenye kikosi hicho.
Pogba alitolewa kwenye kikosi mwezi ulipita baada ya kupata maambukizi ya COVID19 na sasa amerejeshwa tena baada ya kuwa salama.
Vikosi vya Uingereza na Ufaransa kuelekea michezo ya UEFA Nations League.
Uingereza:
Golikipa: Dean Henderson, Jordan Pickford, Nick Pope.
Walinzi: Trent Alexander-Arnold, Ben Chilwell, Conor Coady, Eric Dier, Joe Gomez, Michael Keane, Harry Maguire, Ainsley Maitland-Niles, Tyrone Mings, Bukayo Saka, Kieran Trippier, Kyle Walker.
Viungo: Jordan Henderson, Mason Mount, Kalvin Phillips, Declan Rice, James Ward-Prowse, Harry Winks.
Washambuliaji: Tammy Abraham, Harvey Barnes, Dominic Calvert-Lewin, Jack Grealish, Danny Ings, Harry Kane, Marcus Rashford, Jadon Sancho, Raheem Sterling.
Ufaransa:
Golikipa: Hugo Lloris, Mike Maignan, Steve Mandanda
Walinzi: Lucas Digne, Leo Dubois, Lucas Hernandez, Presnel Kimpembe, Clement Lenglet, Benjamin Pavard, Dayot Upamecano, Raphael Varane
Viungo: Eduardo Camavinga, N’Golo Kante, Steven Nzonzi, Paul Pogba, Adrien Rabiot, Corentin Tolisso
Washambuliaji: Houssem Aouar, Wissam Ben Yedder, Kingsley Coman, Olivier Giroud, Antoine Griezmann, Anthony Martial, Kylian Mbappe.
Michezo ya UEFA Nations League itaendelea mwezi huu, timu mbalimbali zitakuwa uwanjani kuendelea kupeperusha bendera za mataifa yao.
Beti kwa Kitochi Kushinda 300,000,000!
Unajua kuwa unaweza kushinda milioni mia tatu kwa buku tu? Ndiyo! Unaweza kushinda kwa kupiga *149*10# na kubashiri. Ingia mchezoni!


Rehema
Hiini habari njema
Johnmary joel
Hii ni habari njema #meridianbett
Sabrina
Inapendeza sn
Flomena
Good news
Khadija
Safi sana meridian
Amiri Kayera
Safii
David Pere
Kuna baadhi ya vikosi vinatisha sanaaaa
jullie
safi sana
Tumaini kasalile
Mko vizuri#meridian
Sauda
Ligi ya mabingwa
Dorophina
Vikosi vipo vizuri sana
Adelta
Inapendeza sana
magdalena
vikosi vimekaa poa sana
Lydia Emmanuel Magoti
Vikosi vipo vizuri sana
Fatina mfigi
Safii
Elika
Safi sana
Ester mmakasa
Safi sana kwa kutujali wateja wenu.
Zeiyana
UEFA safari hii kutamba moto wachezaji wamekua na molali baada ya mapunziko ya korona
Ernest
Siku zote Uingereza wamekuwa na kikosi bora sana kwa Majina laiki wamekuwa hawana bahati ngoja tuone safari hii chini ya Southgate kama kutakuwa na maajabu
Caroline
UEFA imerudi kwa kishindoo
Mwajumah
Inapendeza sana
Mwanahamisi
Safi sana
Nasra
Gud
Janeflora malisa
Nice
Tatu
Habari nzuri
Hopemwaikuka
Vikosi viko poa sana
aisha
Safi sana
Venerose
Habari njema
Neema
Vikosi viko poaw
Saupha mohamed
Safi sana
Shani
Tusubir raha tu kwa vikosi na mechi hizi
Povel
Vikos vipo moto Sana natumain msimu huu mambo ni moto
Issa
Vikos poa sana
Angelina
Safi
Latifa juma mohamed
Gud news.
Samiah
Gud