Ukibeti nasi tiketi yako ya kwanza daima ni ushindi ukiwa na Meridianbet Tanzania! Haujakosea kusikia kwani kwa sasa Meridianbet wameanzisha promosheni ya TIKETI YA KWANZA JUU YETU ambapo tiketi yako ya kwanza daima haiwezi kupoteza, kwa sababu kama haijashinda –watakurudishia hadi TShs 12,500 ya hela uliyolipia tiketi yako katika akaunti ya bonasi ya kubetia.
Kwa kweli, timu ya Meridianbet imefanya ofa hii kuwa rahisi sana ili daima isiwe vigumu sana kupata USHINDI wako wa kwanza.
Ofa hii haina hasara kabisa, ni kwa wateja wote wapya WANAOJISAJILI na kufungua akaunti ya kubashiri na Meridianbet.co.tz. Ili kufuzu kupata ofa hii, weka mkeka wako wa kwanza kwa kiasi cha kati ya TShs 1,000 na TShs 12,500 kwenye mchezo wowote.
Kama tiketi yako haitaweza kushinda, utakuwa na uwezo wa kuwasiliana na timu yetu na ile hela uliyolipia tiketi yako itawekwa kwenye akaunti yako ya bonasi siku inayofuatia.
Unaona? Ukiwa na Meridianbet, ni USHINDI USHINDI kwa kila mtu! Jisajili leo na kudai tiketi yako ya ushindi chap kwa haraka.


Carolyne
Ofa nzuri sana.
Ester mmakasa
Safi sana meridianbet mnatutendea haki wateja wenu.
Hope mwaikuka
Ni habar njema kwang
Lombo
gud newz meridianbet hamjawai kuboa
Shafii
Mko vizuri meridianbet kwa kutujali wateja wenu
Salma
Mko viziri
Theonestina
Meridiabet mpo juu
aisha
Mmetisha sana
Magdalena
Ngoja nichangamke kuzisaka pesa
#meridianbet
Juliana
Iko vema hiyo
Kenani
Safi kabisa
Warda
Kweli mnatupa pesa bila mgogoro
SADICK
meridianbet daima mpo vizuri#Meridianbettz
Daniel
@MeridianBetTz always the best #meridianbettz
Gabriel
Fursa nzur
David pere
Safi sanaa hapo Sasa tutarudi kwenu kubeti
mwakalosi
khaa yani hata mkeka ukifa napata hela
Povel
Thanks kwa information meridian bet tz#
Genia Sikaluzwe
Inekaaa vizuri san