Usman Amnyoosha Masvidal na Kutetea Ubingwa.

Usman amefanikiwa kufikia rekodi ya Khabib Nurmagomedov’s ya Ushindi wa mapambano 12 ya UFC mfululizo bila kupigwa.

Wakati Alexander Volkanovski akiendelea kubaki na taji lake baada ya kugawana Alama dhidi ya  Max Holloway.

Kamaru Usman amefanikiwa kumpiga Jorge Masvidal na kubaki na Ubingwa wa welterweight kwa maamuzi ya majaji katika UFC 251 nchini Uarabuni ( United Arab Emirates ).

 

Usman amnyoosha Masvidal na kutetea Ubingwa.

 

Masvidal, aliyeitwa katika pambano mara ya mwisho baada ya Gilberts Burns kupata maambukizi ya Corona, alisema Usman ana mdhaifu wa Saikolojia katika mapambano.

Lakini majaji wamethibitisha Usman akiwa na nguvu baada ya kushinda katika mpambano huo kwa 50-45 50-45 na 49-46.

Na kumwezesha Mmarekani huyo mwenye asili ya Nigeria kumfikia Khabib Nurmagomedov kwa kushinda mfululizo mapambano 12 ya UFC.

Bondia huyo sasa ameshinda mapambano 12-0 katika UFC na kufikisha mapambano 16 aliyocheza bila kupigwa.


Bashiri michezo kibao na meridiabet Jisajili sasa.

Jisajili Hapa

42 Komentara

    UFC mchezo wa kusisimua sana#meridianbettz

    Jibu

    Habari nzur sana ihii

    Jibu

    Bondia mzur san huyu

    Jibu

    Lilikuwa ni pambano lenye ushindani sana lakini mwisho wa siku lazima aibuke mshindi

    Jibu

    Pambano lao lilikuwa la kukata na shoka

    Jibu

    Mambo ya left and right

    Jibu

    pambano lilikua la hatari sana hili

    Jibu

    Pambano la kibabe

    Jibu

    Pambano la kibabe

    Jibu

    Pambano la kupimana ubavuhilo

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Habar nzur

    Jibu

    Pambano la kusisimua

    Jibu

    Habari nzuri sana#Meridianbettz

    Jibu

    Pambano kali

    Jibu

    pambano la ukweli

    Jibu

    Hatari sana mpambano huo

    Jibu

    Pambano lilikuwa hatari maana kila mtu alikuwa hakubali kushindwa

    Jibu

    Pambano lilikuwa zuri sana

    Jibu

    Pambona hili likuwa nizuri na Kila mtu alikuwa hataki kubaki kushindwa

    Jibu

    Mapema tuu Masvidal ilijulikana atakaa kutokana na odds aliyopewa kabla ya pambano

    Jibu

    Pambano lilikuwa bomba#meridianbettz

    Jibu

    wazee wa chuma

    Jibu

    Pambano tamu sana

    Jibu

    habari nzuri

    Jibu

    Safii hii

    Jibu

    Ilikuwa poa sanaaa

    Jibu

    Hongera yake Sana kwa kutetea ubingwa wake.

    Jibu

    Mchezo mzuri sanaa

    Jibu

    Hongera kwa usman

    Jibu

    Usman

    Jibu

    Pambano lilikuwa zuri

    Jibu

    Alostahili kumpiga maana jamaa ni anajua kupogana sanaa

    Jibu

    Habari nzuri sana hii

    Jibu

    Pambano lakibabe

    Jibu

    huu mchezo ni ngumi za mtaani zilizohararishwa aisee

    Jibu

    Duuuu huu mchezo huwaga hatari#Meridianbettz

    Jibu

    Ulikuwa mpambano wakusisimua sana

    Jibu

    Pambano lao kma ulilikosa basi ulikosa burudan safi kabisa

    Jibu

    Habar njema sana 👍

    Jibu

    Hongera sana

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.