Borrusia Dortmund wameshindwa kabisa kufurukuta katika mbio za kuuwania ubingwa wa Bundesliga wakiwa nyumbani dhidi ya VfB Stuttgart ambao walipandishwa daraja.
Silas Wamangituka alitangulia kuwaweka kifua mbele Stuttgart baada ya mkwaju wa penati wa dakika ya 26.
Miamba hawa wamejikuta wameshindwa kuzuia kichapo cha aibu cha bao 1-5.
Kichapo hiki kinawafanya mabingwa hawa kusalia katika nafasi ya 5 ya msimamo wa ligi wakiwa nyuma kwa pointi 5 dhidi ya RB Leipzig, ambao walichukua nafasi ya Bayern Munich baada ya kumchapa Werder Bremen bao 2.
Bayern pia wanaweza kuwapiku Leipzig ikiwa watapata ushindi dhidi ya Union Berlin Jumamosi ijayo.
Dortmund , ambao walimaliza nafasi ya pili msimu uliopita wamefanikiwa kushinda mechi moja tu ya Ligi ya Bundesliga katika zilizopita, hiki kikiwa ni kichapo chao cha tatu.
Hali imekuwa tofauti sana na matarajio ya wengi, hasa mashabiki wa Dortmund, ambao wanahitaji klabu yao iweze kuwatoa kimaso maso. Dortmund wana kibarua cha ziada kuweka mambo sawa ili waweze kurejea kwenye njia yao ya ushindi.
MALIZA MWAKA KIBINGWA KWA KUJISHINDIA SHEA YAKO KWENYE SHILINGI 140,000,000TSH!!
Kipindi hiki cha sikukuu kinamalizika kwa namna ya kipekee. Shilingi 140,000,000 kushindaniwa katika michezo ya Evolution kwenye Kasino Mubashara ya Meridanbet. Ingia mchezoni na ujiwekee nafasi ya kushinda shea yako!!!
Latifa juma mohamed
Gud news.
Ester jackson
Duuuh niaibu kubwa timu ya Dortmund kufugwa hivyo
Adelta
Mpira hautabiriki
David Pere
Wametunyima pesa sanaa yani najuta kuwaka kudadadeki
Sadick
Ilikuwa aibu ya mwaka kufungwa nyumbani bao 5. Maneno ya wahenga kwamba mpira unadunda ni ya kweli kabisa
Khadija
Tatizo mpira hautabiriki
Sarah
Good news
Hopemwaikuka
Duh! Aibu
Shakila mrope
Da ni noma san
Lydia Emmanuel Magoti
Duu sio poa
Ernest
Ukiangalia utaona jinsi gani mashindano ya UEFA yanazipa wakati mgumu timu zinazocheza mashindano haya, Dortmund wachezaji walikuwa wamechoka baada ya kupindua Meza kwenye mechi ya Uefa kutoka goili moja nyuma adi kuibuka na ushindi.
Dorophina
Aibu Dortmund wamekuwa wakupiga kama watoto dhuu ishakuwa hatari
Caroline
Hongera sana
Issa
Dortmund walipotea
[email protected]
Game ilikua tafu sana
samiah
Hongera zao
Tatu
Mpira ni mgumu kutabiri
warda
Yaani hawa stuttgart wamesababisha kocha kafukuzwa
Rahma
Aisee ni noma sana
aisha
Pongezi kwao
Mariam mtandama
Safi
Zainabu Kihongosi
Habari njema