Wakala wa nyota wa Liverpool Mohamed Salah amekanusha madai kuwa Real Madrid walitaka kumsajili Salah mwaka 2018.
Mchezaji wa zamani wa Egypt Hany Ramzy, alisema jumamosi kuwa Mo Salah alijadilianana kocha wake wa timu ya taifa Hector Cuper Machi 2018, juu ya kuwasiliana na Real Madrid ambao walitaka kumsajili.
Ramzy meongea katika kituo cha televisheni cha Ontimes Sports kuwa alikuwepo kwenye mazungumzo hayo, na alikuwa sehemu ya mazungumzo juu ya Real Madrid kujaribu kumsajili Salah.
Lakini wakala wa Salah, Rammy Abbas Issa amekanusha kabisa madai hayo.
Wakala huyu anasema Salah hakuwahi kufanya majadiliano ya mpango wake na kocha yeyote aliyepita. Alichapisha kanusho hilo kwenye ukurasa wake wa Twitter.
Salah alifanya vyema kampeni yake ya 2017/8, akifanikiwa kupata magoli 32 kwenye kwenye Ligi Kuu, na kutoa asisti 10.
Mpaka sasa Salah amefunga jumla ya magoli 91, katika mechi 144 tangia alipofika Liverpool kutoka Roma 2017.


Theckla
Kuna sababu gani yakusema uongo
Povel
Waswahil wanasemah lisemwalo lipo ngoj tuone na tusubir Asante meridian bet kwa update
frank patrick
Salah apewe mkataba mwingine tena Liverpool asisepe hawa washaanza chokochoko
Tahiya
Tusubir na tuone
Neema hassan
Asante meridianbet kwa taarifa
Mwanaidi
Inawezakana sio madai ya kweli
felister
Ramzy kwanini aseme ivyo hawezi zusha uongo usiokua na faida
Ernest
Mo Salah bado anahitajika kuwepo kwenye Dimba la Anfield kwa miaka kadhaa nadhani litakuwa jambo jema kwake.
Dorophina
Tusubilie tuone kitakachojiri
Mwajuma
Safi kwa habari nzuri za michezo.
Salma
Ngoja tuone
Lombo
asante meridianbet kwa habar moto moto
mwakalosi
Wakala anajaribu kutengeneza deal hapa
winfrida
liverpool bado wanamuhitaji salah ndio maana wanataka kumuongezea mkataba mpya
Gabriel
Mo Salah kichwa cha Liverpool huyo
Warda
Zidane angefanya amchukue moo tu
SADICK
Kwa aina ya uchezaji wake sidhani kama atapata mafanikio Club nyingine zaidi ya Liverpool #Meridianbettz
Daniel
Great article #MeridiantBetTZ
Antony Luseno
Bado mapema kuondoka Liverpool
Furahav
Tulia hapo.
Emmy cleopa
Tunasubir tuone #meridianbettz
Adelta
Tuna subiri tuone kitakachojiri
aisha
Acha tuone itakuaje
Devotha
Good