Wenyeji wa michuano ya Kombe la Dunia la Wanawake 2023 watachaguliwa katika mkutano wa Baraza la FIFA wa tarehe 25 Juni ambao utafanyika kwa njia ya mtandao.
FIFA wanatarajia kuchagua kati ya Brazil, Colombia, Japan, na muunganiko wa Australia na New Zealand katika wenyeji wa michuano hii mikubwa zaidi ya soka la wanawake. Nafsi ya kupata mwenyeji inatajwa kuwa na ushindani mkubwa zaidi kuwahi kutokea.
Awali, wenyeji walitakiwa kuchaguliwa katika mkutano wa Baraza la FIFA kule Addis Ababa mwezi Juni, lakini ulighairishwa kwa sababu ya janga lililoikumba dunia.
FIFA wamesisitiza kuwa bado wanazingatia umuhimu wa kupata mwenyeji kwa ushindani wa wazi na watahakikisha wanakuwa katika lengo hilo hasa katika kipindi hiki ambacho kumekuwa na ushindani mkubwa zaidi katika soka la wanawake.
Kupitia mkurugenzi wake Fatma Samoura, FIFA wamebainisha kuwa ripoti ya ushindani na mchakato mzima wa kumpata mwenyeji itachapishwa mwezi Juni. Wakati Korea Kusini na South Africa wao walijitoa mapema mwezi disemba kwenye kinyang’anyiro hicho.
Michuano ya Kombe la Dunia la Wanawake 2023 itahusisha timu 32 kwa mara ya kwanza, ikiwa ni ongezeko kutoka timu 24 za mwaka 2019 kule Ufaransa.
Theckla
Nawaombea kikao kikafanyike vyema na haki itendeke
Ester mmakasa
Safi sana wanawake ,mkiwezeshwa mnaweza.
Carolyne
habari njema
Gabriel
Good news 👍# meridianBetTZ
Ester jackson
Tunaomba mambo yawe mazuri katika kikao hicho
Frank Patrick
Upande wa wanawake huwa hawana ratiba kama ya wanaume kumbee
SADICK
Kwa miaka ya karibuni msisimuko umeongezeka sana mpira wa wanawake. Kila la kheri#Meridianbettz
Antony Luseno
Wanawake nao hawajaachwa nyuma katika soko
lombo
asante meridianbet kwa habar moto moto
Salma
Ni habari njema
Tatu
Habari njema hyo
Rehema
Asante sn meridianbet Mambo mazuri
Tahiya
Wanawake ni nomaa
Mwajuma
Mambo mazuri hayo wanawake nasisi tunaweza
Adelta
meridianbet amjawai kuboa habar mzur hapa n haki saw apana chezea
Theonestina
Wanawake tupo juu
aisha
Ahsanteni meridian kwa habari njema
Elika
Ni jambo jema hilo kila la heri katika hicho kikao kinachotarajia kufanyika
Emmy cleopa
Ahsante meridian kwa habar nzur #meridianbettz
Neema juma
Nimeipenda hiyo taarifa kuhusu wanawake. Nawapa big up kwa kweli
Samiah
Meridian mnahabari nzr sanaaa asanten
Lydia Emmanuel Magoti
Asantee meridian kwatarifa nzuri wanawake tuna weza tupo juu
khadija
Jambo jema Kwan wanawake Sasa hiv wanaweza#meridian
Dorophina
Asante kwa taarifa
Agness
Nihabari njema
Povel
Ni habar njema
Asha
Ni habar njema
Evaluziga
Wanawake wakiwezeshwa wanaweza
Kenani
Ni hatat fire
Hidaya Mohammed
Wanawake tunaweza
geniaskaluzwe8
Good 👍
mwakalosi
Huu mchakato kwa sasa utakuwa mgumu kutokana na hali ya hewa
felister
wanawake tukiwezeshwa tunaweza
Swai
Great
Furahav
Vzr
Mariam mtandama
Safi
Hidaya Mohammed
Wanawake tunaweza
Issa
Wanawake wanalipaisha soka sana