Yanga na Azam Tuendelee Kusali

Kanuni za mashindano ya CAF zinaelekeza kwamba nchi 12 zenye ligi bora barani Afrika, hutoa timu 4 kushiriki mashindano ya CAF; mbili kwenye ligi ya mabingwa na mbili kwenye Kombe la Shirikisho.

Msimu huu (2019/20), Tanzania ilikuwa katika nafasi ya 12, na ndiyo maana ilitoa timu 4. Simba, Yanga, Azam FC na KMC.

Lakini kutokana na kufanya vibaya kwa timu hizo, Tanzania ikashuka hadi nafasi ya 13, na Libya ambayo ilikuwa ya 18, ikapanda hadi nafasi ya 12 kutokana na timu yake ya Al Nasr kufika robo fainali ya Kombe la Shirikisho.

Hata hivyo, Libya haitokuwa na mshiriki katika mashindano ya CAF kwa msimu ujao wa 2020/21 kutokana na kushindwa kumaliza ligi yao.

Hii ni mara ya pili kwa nchi hiyo kushindwa kumaliza ligi, hivyo CAF wameiadhibu kwa kuwaondoa kwenye mashindano.

Sasa endapo Libya hatokuwepo, huenda zile nafasi zao nne zikaangukia kwa anayefuata baada ya yao, ambao ni sisi Tanzania.

Japo CAF hawajatoa maelekezo juu ya atakayechukua nafasi ya Libya, lakini matumaini ya wachambuzi wengi ni kwamba nafasi hiyo itaangukia kwa Tanzania.

Hapa ndipo kwenye matumaini.

Kama itakuwa hivyo, basi timu za Tanzania zitakazoshiriki ni kama ifuatavyo.

Simba – Ligi ya Mabingwa
Yanga – Ligi ya Mabingwa
Namungo – Kombe la Shirikisho
Azam FC – Kombe la Shirikisho


Umekuwa mteja muaminifu wa meridianbet? Basi fahamu kuwa kuna zawadi kibao hadi 5% ya pesa yako inarejeshwa kwako. Kila wiki unaweza kurudishiwa mpaka Tsh 250,000.

Soma zaidi

43 Komentara

    Hapa tunaomba tu uamuzi ufikie kama tunavyotarajia sio mbaya kwa timu zetu kupata nafasi kwasababu ndio tunaofuata baada ya Libya

    Jibu

    Hatua tuliyofikia Tanzania sio mbaya sana ingawa tunatakiwa kujitahidi msimu ujao

    Jibu

    Sisi Kama mashabiki tunaomba usajili
    Uwe wa amanina utulivu@meridianbettz

    Jibu

    Sio mbaya kwa team zetu kupata nafasi #Meridianbettz

    Jibu

    Tanzania tunaweza, tuongeze juhudi .

    Jibu

    Bidiii muhim

    Jibu

    Langu jicho

    Jibu

    Tinaomba maamuzi yawe mazudi zaidi

    Jibu

    Mungu hibariki Tanzania yetu ila azamu walikua vizuri sana aa sijui wanakwama wapi?

    Jibu

    Mungu ibariki Tanzania

    Jibu

    kama maamuzi yataenda poa na tanzania ikachaguliwa itakuwa poa sana

    Jibu

    Maoni:itabidi club zijitahid msimu ujao tupande ili tupeleke timu4

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Tupambane tutaweza

    Jibu

    Kila kitu kinawezekana

    Jibu

    Daaa jamani Simba ndo inabeba sana Taifa #Meridianbettz

    Jibu

    tunaomba maamuzi yawe mazuli zaid#meridianbettz

    Jibu

    Tuendelee kuimbea dua time ya simba ikafanye vizuri kwenye mechi zinazikuja

    Jibu

    hakuna kinachoshindikana

    Jibu

    Langu jicho

    Jibu

    Utakuwa uamuzi mzuri kuona timu zote hizo zikishiriki mashindano ya Kimataifa#meridianbettz

    Jibu

    Safiiii

    Jibu

    Ni jambo zuri

    Jibu

    Safii

    Jibu

    Ni habari njema Sana kwetu mashabiki wa Simba na yanga

    Jibu

    Me naamin msimu ujao tutafanya vzur sana kutokana na usajil ambao tumeifanya kipind hich japo kulikuwa na migogoro lakin now tumenda sawa na tunatarajia kuona tunapanda kwa kasi

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Mbona itakua raha tu.

    Jibu

    Ni safi sana

    Jibu

    💪💪

    Jibu

    Msimu ujao utakua bora zaidi acha tuendelee kusajili

    Jibu

    Itakuwa poa sana msimu ujao

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Tunaomba maamuzi yawe mazuri zaidi na ya kuridhisha.

    Jibu

    naamin msimu ujao tutafanya vzur sana kutokana na usajil ambao tumeifanya kipind hich japo kulikuwa na migogoro lakin now tumenda sawa na tunatarajia kuona tunapanda kwa kasi sanaaa

    Jibu

    Sio mbaya pia kwa hatua tuliofikia tanzania na vilabu vya hapa nchini

    Jibu

    Tunachokionba sisi mashabiki maamuzi yao yawe mazuri

    Jibu

    Mungu ibariki Tanzania

    Jibu

    Timu za kiafrika me naona upeo wao mdogo wanawaza kushindana wao kea wao na majungu ya kuchukukiana kiss wachezaji wanatakiwa kusajili ili wapambane kimataifa

    Jibu

    Kama itakua ivi ni bahati kubwa Sana kwa yanga na azam.

    Jibu

    Gud

    Jibu

    Good

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.