Klabu ya Yanga SC wamefanikiwa kuwafunga watani wao wa jadi Simba SC na kutwaa kombe la Super Cup kuashiria kufunguliwa kwa msimu mpya wa ligi kuu Tanzania Bara.
Mchezo huo ulianza kwa kasi ya kadiri huku timu zote zikishambuliana kwa zamu lakini mpira ukichezwa zaidi sehemu ya katikati ya uwanja.
Bao pekee la Fiston Mayele dakika ya 11 jana limetosha kuipa Yanga taji hilo likiwa ni la sita kwenye kabati lakini pia ikiwa ni mara ya tatau mbele ya Simba.
Mlinzi wa kati Joash Onyango alishindwa kuendelea mpira na kutolewa dakika ya 26 baada ya kuumia kichwani wakati akijaribu kufunga nafasi yake ikachukuliwa na Kennedy Juma.
Kipindi cha pili tulianza kwa kasi na kuliandama lango lango la Yanga ambapo dakika ya 49 Chris Mugalu alipoteza nafasi ya kufunga.
Dakika ya 91 kiungo Taddeo Lwanga alitolewa kwa kadi nyekundu baada ya kuonyeshwa kadi ya pili ya njano kwa kumfanyia madhambi Feisal Salum.
Ni wakati wa ushindi mkubwa ukiwa na kasino bomba ya Lock a Luck, meridianbet wanakupa sababu ya ushindi, funga bahati yako ya ushindi ukiwa na mabingwa.
Sania+mapua
Uto Afrika wamejaribu mwaka huu