Yanga Yakiri Zlatko Alikuwa Chaguo la Pili

Zlatko Krmpotić kwa sasa ndiye Kocha Mkuu wa Yanga ametua akitokea nchini Serbia kuchukua nafasi ya Mbelgiji, Luc Eymael aliyetimuliwa Julai 27.

Yanga imemchukua kocha huyo akitokea Polokwane City ya nchini Afrika Kusini huku akiwa amefundisha baadhi ya klabu  kama APR (Rwanda), Zesco United (Zambia) na TP Mazembe (DR Congo).

Timu hiyo imemchukua kocha huyo baada ya Mrundi, Cedric Kaze aliyekuwa anafundisha Academy ya Barcelona kupata matatizo ya kifamilia.

Mkurugenzi wa Uwekezaji wa GSM na Mjumbe wa Kamati ya Mashindano wa Yanga, Injinia Hersi Said amesema :- “Baada ya dili kufeli, haraka tukahamia kwa Zlatko ambaye yeye alikuwa chaguo letu la pili kati ya makocha hao walioleta CV zao Yanga, hivyo kamati ikachukua maamuzi ya kumpitisha Mserbia huyo kuja kuifundisha Yanga,

“Uzoefu wa Zlatko wa kufundisha timu za Afrika ndiyo umetushawishi sisi viongozi kumpa nafasi ya kuja kuifundisha Yanga, kwani aliwahi kuzifundisha klabu za TP Mazembe, Zesco na Polokwane, kocha huyo tumemuachia nafasi mbili za usajili za wachezaji wa kigeni ambazo kama akihitaji mchezaji wake atakayetaka kufanya naye kazi tumsajili,” amesema Hersi.

Amewahi kuwa kocha bora kule DR Congo msimu wa 2016-2017, msimu uliofuata pia akawa kocha bora kwenye Ligi ya Zambia akiwa na Klabu ya Zesco pia akawa kocha bora Afrika. Mwaka 2018 baada ya kutua Botswana kuinoa Jwaneng Galaxy aliibuka pia kocha bora wa msimu.

“Msaidizi ni Juma Mwambusi ambaye ni mzawa na ni pendekezo la kocha mpya kwamba alitaka kufanya kazi na mzawa.

“Pia, kocha wetu mpya wa makipa ni Niyonkuru (Vladimir) ambaye ni raia wa Burundi yupo tayari nchini kwa kufanya kazi yake hiyo, tumeliboresha benchi letu la ufundi kwa ajili ya kufi kia malengo yetu,” alisema Hersi.


Beti Mbio za Mbwa Mubashara

Hii ni rahisi zaidi! Hapa USHINDI unaupata kwa kuchagua mbwa anayeshinda mbio na machaguo mengine yenye odds tamu.

Cheza Hapa

46 Komentara

    Hongera zake kwa kuwa kocha mkuu wa yanga kila raheri katika mapambano#meridianbett

    Jibu

    Kila lakheri zlatko katika utendaji wako wa kazi yanga wamekuamini ukafanye kweli

    Jibu

    Kila la kheri kwake akawajibike vema

    Jibu

    ngoja tuone uwezo wake yanga itabadilika

    Jibu

    namtakia mafanikio mema uenda akatufikisha mbali

    Jibu

    Kila la kheri kwake na namtakia mafanikio mema#Meridianbettz

    Jibu

    Kila kher kwake namtakia mafanikio mema na kujituma awapo kazin kwake!!

    Jibu

    Safi Sana Yanga

    Jibu

    Hakuna jinsi sasa ni kumwamini na kumsupport ili atimize majukumu yake kama kocha

    Jibu

    Tunasubili mabadiliko tu yanga

    Jibu

    Hakun jinsi hapo wampe nafas tu hapo na wamtimizieh mahitaji anayoyatak iliawez kufany kaz kwa ueheredi hapo jangwani

    Jibu

    Kazi kwao yanga

    Jibu

    Safi sana yanga

    Jibu

    Tunataka mahajabu uwanjani sio maneno tuuu ufanye kaz Sana kuipambania krabu yako nawamtimizie maitaji yake

    Jibu

    Nihabari njema kwa wana yanga

    Jibu

    Kila la kheri ktk mapambano kocha mkuu wa yanga, tunahitaji uendeleze mapambano zaidi.

    Jibu

    Inadaiwa amekuwa hakai ktk timu moja kwa muda mrefu kutokana na matokeo mabaya tuone kama hapa atakaa muda mrefu #meridianbettz

    Jibu

    Jitahidi baba sisi tunataka mabadiliko ya kweli

    Jibu

    Tunasubir mabadiliko

    Jibu

    Lakn bado ni kocha mzur

    Jibu

    Big up. Kwa Yanga Africa

    Jibu

    Ngoja tujionee wenyewe mashabiki

    Jibu

    Asante kwa taarfa

    Jibu

    Kocha kama kocha hatar sana

    Jibu

    Hawachelewi kumtimua na huyu

    Jibu

    Haya karibu utopolo

    Jibu

    Haya tuone mabadiliko.

    Jibu

    kumwamini na kumsupport ili atimize majukumu yake kama kocha katika timu yake ya uto

    Jibu

    Tushawazoea amna jipya

    Jibu

    Safiii sana Yanga

    Jibu

    Yani daima Mbele nyuma mwiko

    Jibu

    Mmmmh😏😏😏

    Jibu

    asante meridianbet kwa habar moto moto

    Jibu

    Yanga hawana mchezo mchezo kata mti panda mti hawataki machauzi

    Jibu

    Kocha mzuri atatufaa yanga

    Jibu

    Kwa skwad hii bila kocha watakaa

    Jibu

    Asnt kwa taarif

    Jibu

    Duuh nangoja kuona kivumbi cha yanga mana akiaribu tu tiketi ya ndege inamuhusu yanga hawataki mchezo

    Jibu

    Mmmh

    Jibu

    Yuko vizuri, atatufaa wana Yanga

    Jibu

    Mmmmmmm Hakuna kitu hapo

    Jibu

    hapo naona hakuna jipya yanga wajipange sana

    Jibu

    Kocha makini sana na kwa kikosi hiki patakuwa na ushindani

    Jibu

    Kwa CV alizokua nazo ninaimani atafanya makubwa ndani ya clubu ya yanga.

    Jibu

    Hakun jinsi hapo wampe nafas tu hapo na wamtimizieh mahitaji anayoyatak iliawez kufany kaz kwa ueheredi hapo jangwani

    Jibu

    Zlatko Krmpotić n kocha mzur sana tena n kocha mzoef wa kimataifa nkubal sana 👍

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.