Yanga African (Wananchi) Yakusanya Zaidi ya Billion kwa Miezi 6

Msemaji wa klabu ya Yanga, Haji Manara ameeleza kuwa klabu hiyo imekusanya zaidi ya bilioni moja kutoka kwa wanachama kwa kipindi cha miezi sita.

Manara ameyasema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari hii leo jijini Dar Es Salaamu.

Yanga
Manara, Afisa Muhasasishaji Yanga

“Haipo na haijawahi kutokea kwa klabu yoyote Afrika Mashariki na ya kati kuweza ku- collect one billion from members, haipo na haijawahi kutokea Afrika Mashariki na kati tena kwa miezi sita tu” Amesema Haji Manara.


SHINDA SAMSUNG A32 NA AVIATOR

SHINDA Samsung A32 ukiwa na mchezo wa Aviator kwenye Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet! Kwea pipa ukusanye zawadi zako pamoja na ushindi mnono wa mkwanja!

kasa wa njano, Kasa wa Njano Awapa Ubingwa wa CL Liverpool., Meridianbet

SOMA ZAIDI HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.