Nado Aanza Tizi Azam

BAADA ya kupata majeraha ya mguu, kiungo mshambuliaji wa Azam FC, Iddy Nado tayari ameanza mazoezi kwa ajili ya kurejea tena uwanjani.

Nado alipata majeraha ya goti ambayo yalimlazimu kwenda nje ya nchi kwa ajili ya kupatiwa matibabu zaidi.

Akizungumza kurejea kwake uwanjani, Ofisa Habari wa Azam FC, Thabit Zakaria ‘Zaka zakazi’ amesema kuwa nyota huyo tayari ameanza mazoezi binafsi.

“Nado tayari ameanza mazoezi binafsi kwani mwezi wa nane anatarajiwa kuanza mazoezi na timu na baada ya hapo atarejea rasmi uwanjani.” -Zaka zakazi

Nado Aanza Tizi Azam

 

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.