Bangala: Naendelea Nilipoishia, Natamani Mafanikio Mapya

KIUNGO wa Yanga na mchezaji bora wa ligi kuu Bara kwa msimu uliopita, Yannick Bangala amesema kuwa anakuja kivingine kwa kutoangalia kile alichopata msimu uliopita.
Bangala
Bangala
Bangala alikuwa sehemu ya mafanikio ya Yanga msimu uliopita ambapo alibeba mataji matatu ambayo ni Ngao ya jamii, Ligi Kuu na Kombe la Shirikisho la Azam.

Akizungumzia hilo, Yannick amesema kuwa “Msimu uliopita nimefanikiwa kupata mafanikio mengi haswa ya timu yangu lakini bila kusahau yangu binafsi. Hii siyo kipaumbele changu kuelekea msimu ujao ambapo naamini natakiwa kuanza upya.
Bangala

“Natamani kuona napata mafanikio mengine mapya hivyo sidhani kama nikicheza kwa kuringia mafanikio ya msimu uliopita nitaweza kufanikiwa, lazima kupambana zaidi ya msimu uliopita.”

Kwa Taarifa Zaidi Zinahusu Michezo na Uchambuzi Bofya hapa Chini 

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.