Simba SC Kufunga Usajili na Straika

Simba SC baada ya kumtambulisha nyota wao, Nelson Okwa, Uongozi wa wa klabu hiyo umefunguka kwamba amebaki mchezaji mmoja anayecheza kwenye nafasi ya straika kwa ajili ya kufunga usajili wao.

Okwa ambaye anacheza nafasi ya kiungo mshambuliaji alitambulishwa na
Simba jana jumatano usiku kwa mkataba wa miaka miwili.

Simba SC

Akizungumzia usajili huo, Ofisa Habari wa Simba SC, Ahmed Ally amesema kuwa
“Tunayo furaha kumtambulisha mchezaji wetu Nelson Okwa. Atajiunga na
kikosi Dar.

“Kikosi baada ya kutua Dar wachezaji wamepewa mapumziko ya siku moja
na kesho wataingia kambini kwa ajili ya kujiandaa na siku ya Simba.

“Hatujaishia hapo kwenye usajili lakini ndani ya wiki hii
tutamtambulisha tena mchezaji mwingine ambaye anacheza kwenye nafasi za
mbele ili kuziba nafasi zilizopo.”

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.