Watatu (03) Pan waipa TFF Mil 1.5

Kamati ya usimamizi na uendeshaji wa ligi imewafungia wachezaji watatu wa Pan African kucheza kwenye mechi tatu na kuwatoza faini ya laki tano (500,000) kila mmoja.

Wachezaji hao ni Diey Makonga, Patrick Muhagama na Abdallah Rashid ambapo adhabu hiyo ilitolewa jana jumatano na bodi ya ligi.

Watatu (03) Pan waipa TFF Mil 1.5

Taarifa iliyotolewa na Bodi ya Ligi ilieleza kuwa sababu za kufungiwa kwa wachezaji hao ni kuwashambulia waamuzi wa mchezo kati ya Ken Gold dhidi ya timu hiyo kwa matusi na maneno yasiyo ya kiungwana.

Katika mchezo huo uliochezwa kwenye Uwanja wa Sokoine, Mbeya ulimalizika kwa Pan kupoteza kwa mabao 5-2.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.