Mbeya City yamkana Kibu Denis

Benchi la ufundi la Mbeya City limeweka wazi kuwa hawana mpango wa kumrudisha kwenye timu yao, Kibu Denis.

Mchezaji huyo ambaye kwa sasa anakipiga ndani ya klabu ya Simba kabla ya kujiunga nao alikuwa akikitumikia kikosi cha Mbeya City kwa mafanikio makubwa.

Mbeya City yamkana Kibu Denis

Akizungumzia hilo, Kocha Msaidizi wa Mbeya City, Anthony Mwamlima amesema “Kwanza benchi la ufundi halijatoa mapendekezo yeyote juu ya usajili.

“Labda hilo lipo kwa Uongozi lakini kwa sasa kocha amesafiri kwenda kuisalimia familia yake hivyo tunamsubiri akifika yeye ndio atatoa mapendekezo yake.”

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.