Yanga Yamrudisha Metacha Mnata Jangwani

Klabu ya Yanga nao wakaona wasifunge dirisha la usajili bila kusajili golikipa na sasa wamehamia kwa aliyekuwa golikipa wao wa zamani Metacha Mnata ambaye ni mlinda mlango nambari 1 wa Singida Big Stars kwa mkopo wa miezi 6.

 

Yanga Yamrudisha Metacha Mnata Jangwani

Yanga wamemrudisha Metacha ambaye aliwahi kucheza klabuni hapo kabla ya kuondoka na kuitumikia Polisi Tanzania ambayo bado ina hali mbaya kwenye msimamo wa ligi ambapo ipo nafasi ya mwisho.

Baada ya hapo Metacha alijiunga na Singida Big Stars ya Pluijm ambayo imepanda daraja msimu huu na inafanya vizuri.

Yanga Yamrudisha Metacha Mnata Jangwani

Nabi na timu yake wameamua kumchukua Metacha kwani ana uzoefu na timu hiyo lakini pia kutokana na Mshery ambae ni golikipa namba mbili kupata majeraha. Na aliyebaki ni Diara na Johora kiwango chake hakiridhishi.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.