Yanga Yatua Dar es salaam na Kombe Lao

Klabu ya Yanga imetua jijini Dar es salaam wakitokea Mbeya huku wakisindikizwa na sherehe za kutwaa Kombe la 29 la Ligi kuu ya NBC ambalo walikabidhiwa hapo jana baada ya ligi kumalizika.

 

Yanga Yatua Dar es salaam na Kombe Lao

Yanga walimaliza msimu jana kwa ushindi dhidi ya Tanzania Prisons ambao waliwapasua kwa mabao 2-0, mabao ya Fiston Mayele pamoja na Yanick Bangala yalitosha kuwapatia pointi 3.

Baada ya mechi hiyo kukamilika kule Mbeya klabu hiyo ambayo inaongozwa na Kocha mkuu Nabi walikabidhiwa kombe lao huku wakitangaza kufanya gwaride wakirejea nyumbani.

Yanga Yatua Dar es salaam na Kombe Lao

Na ndicho klinachofanyika toka asubuhi wakitembea na kombe lao karibu jiji zima wakiwa pamoja na mashabiki zao, huku wakiwa pia kwenye fainali ya Kombe la FA ambalo watamenyana dhidi ya Azam FC kule Tanga.

 

 

 

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.